Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,552
- 52,226
Namshukuru Mungu aiseee, nimekua hapa kwa miaka 15 sasa, wengi tulioanza nao wametangulia mbele za haki na wengine wamebadli ID. Ni jambo jema sana kwangu. Ni siku pia yenye matukio mengine makubwa ya kibinafsi.
Asanteni kwa Marafiki wapya na connections za kutosha. Long Live JF.
Kama una jambo ungependa kuuliza, karibu.
Shikamoo Broo.
Kongole sana