Lengo la Lissu ni kuua ndege wawili kwa wakati mmoja. Wenye akili tumemuelewa, ila wasio na akili hawajamuelewa

Huo ni mtazamo wako....

WaTanzania tumechagua kwenda na Lissu iwe jua iwe usiku Huyu Binadamu anasimamia katika UKWELI

NOTE: Hizo pesa zilizo tumwa kuivuruga Chadema ndo zinakwenda KUIPA NGUVU KUBWA SANA

They think money can work ndo maana wako KIMYAA....

Yaani watupie nyama wavurugane....Hii mbinu ilisha tunguliwa long time

Unaweza kufikiri ni jangwa kumbe chini ni tindiga la maji lenye KINA KIREFU

Mbuyu unapoanguka kishindo ni kikubwa sana ...
Angalau wewe unaonekana kukomaa akili na kuandika mambo yanayoeleweka.

Wengine wanaishia kubweka tu bila kujua hata kile wanachokiandika wenyewe.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Baada ya kufuatilia kwa makini vile vinavyozungumziwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mhe Tundu Lisu, nimegundua kwamba jamaa amejipanga kujaribu kuuwa ndege wawili kwa wakati mmoja ili aweze kufanikiwa lengo lake la muda mrefu, japo inaonekana wazi kuwa kwa aina ya ndege anaotaka kuwaangusha, hakuna ndege hata mmoja ambae ataweza kumdondosha kwa namna yoyote ile itakayojaribu kuitumia.

1. Tukianza na ndege namba moja (mkuu wa wakuu wote)
Ndugu Lisu amekuwa akijaribu kupambana na mkuu huyu kwa kujaribu kumchafua kwa kumtupia lawama mbali mbali za kweli na zisizokuwa za kweli, ilimradi afanikiwe kumchafua, kumdhalilisha, kumvunja moyo na kumfanya aonekane hafai mbele ya wale anaowaongoza akiwemo yeye mwenyewe Lisu.

Kwa bahati mbaya au nzuri watanzania wa leo sio wale wa enzi za mwembeyanga, Soweto Arusha nk. Wa leo wengi wanajitambua na kuelewa kila kitu. Unaweza kuongea utumbo wako wakakupuuza na kukuacha uendelee kubaki na utumbo wako hivyo hivyo, au wengine wakaonesha kuunga mkono utumbo wako, lkn wakakupa adhabu kubwa katika sanduku la kura na kukufanya ubaki unalalamika mwenyewe.

2. Ndege namba mbili (namba moja wa chama chake)
Bila shaka ameshaona kuwa namba moja wa chama chake sio mpinzani wa kweli, ni mchumia tumbo anaeweka masilahi ya tumbo lake na familia yake mbele (kumbuka sakata la Lowasa), hivyo kwa yeye (namba 1 wake) kuendelea kuwa kitini kama kiongozi, ni njia moja wapo inayosababisha chama chao kishindwe kushika dola. Hivyo anajaribu kutupa makombora ambayo yatakuja kumsaidia yeye kupata uungwaji mkono wa kugombea unamba moja wa chama hicho hapo baadae (miezi kadhaa iliyobaki).

Mfano ameanza kuhoji aliemualika mkuu wa wakuu katika kilele cha siku ya wanawake duniani (happy woman's day) mwaka jana. Bila shaka anajua wazi ni nani alietoa wazo, au ruhusu ya mkuu huyo wa wakuu kualikwa, lkn kwa kuhofia kutengwa na chama chake katika uchaguzi ujao, ameshindwa kumface namba 1 wake huyo wa chama, na badala yake ameishia kuzungumka mbuyu kwa kuhoji aliemwalika adui yake (mkuu wa wakuu)

Pili ameanza kulalamika kuwa kuna pesa za mama Abdul (mkuu wa wakuu) zinatumika kupitisha watu wa kukiangamiza chama. Bila shaka ameshamjua mtu ambae aliwahi kwenda katika "jumba la taifa" kinyemela zaidi ya mara mbili kuonana na huyo mama Abdul (mkuu wa wakuu) bila kuwataarifu wenzake na wakapanga waliyoyapanga bila mtu mungine kinyume na waliokuwepo huko kujua kilichozungumziwa na kupangwa.

Hii inaonesha wazi kuwa huenda mhe Lisu sasa anataka kujitokeza kugombea unamba 1 wa chama ili akipeleke chama hicho kwa style ile anayotaka yeye kiende. Ila anahofia pesa za mama Abdul alizokabidhiwa namba 1 wao wa chama kisiri siri, zinaweza kutibua plan yake ya kushika unamba 1 wa chama, kwani namba 1 aliepo anaweza kutumia cheo chake, na pesa hizo (Lisu anadai zilitoka kwa mama Abdul) kuendelea kubaki kitini kwa miaka mingine mi5 ijayo. Hivyo ndugu Lisu akaendelea kuwa anadhibitiwa na watoa pesa hao kupitia makubaliano waliyopanga kati ya mkuu wa wakuu na namba 1 wa chama chao.

So kwa hali ilivyo ni ngumu mno kwa mzee Lisu kuwaangusha ndege hao, kwani wameshajipanga kwa pamoja kuhakikisha jamaa anakuwa debe tupu. Yani apewe uwanja wa kupiga kelele na kubwawaja apendavyo ila mwisho wa siku wamchinjie baharini. I mean hatopata unamba 1 wa chama chake, wala ule ukuu wa wakuu. Ataachwa aendelee tu kubwabwa na kupozwa na cheo cha ukatibu mkuu wa chama.

Ndomaana mpaka leo si namba 1 wa chama chake, wala mkuu wa wakuu aliejitokeza kumjibu anayoongea. Cause wanajua ni mbio za sakafuni tu zitakazoishia ukingoni.
ni kweli watanzania wa leo siyo wa kipindi kile wanamwelewa sana Lissu na atafanikiwa
 
Hakuna cha political tactic hapo. Kitendo cha Lisu kuhusisha uchafu unaoendelea katika uchaguzi wa ndani ya chama na hela za mama Abdul, na pia kuhoji aliemwalika mama Abdul katika sherehe za siku ya wanake katika chama chao kinaonesha fika kuwa analengwa namba 1 wao wa chama ambae ndio aliekuwepo na kuongoza mapokezi yale.

Pia hizo pesa za mama Abdul anazodai kutumika ndan ya chama anamaanisha zimepokelewa na namba 1 huyo ambae alipotoka tu selo alienda kimya kimya ktk jumba jeupe kuonana na huyo ambae Lisu anamwita mama Abdul. So kwa mantiki hiyo hao jamaa hawawezi kumuunga mkono Lisu hata chembe, kwa vile kauli ile inaonekana kumlenga zaidi namba 1 wao ambae ndio anaewafanya hao wengine wawe katika position walizokuwa nazo leo chamani.
shikilia matawi huko juu Mkuu hali ni mbaya huku Lissu anawafunguwa macho na hana cha kupoteza...

Cha msingi tazama utakapo angukia
 
Usikute na wewe ni baba wa familia ndio umechambua kwa uwezo wa ubongo wako wote
 
TAKUKURU wamefikia wapi kumchunguza huyo mama aliyetajwa?
Uchunguzi unaendelea japo mtoa shutuma huenda akakwepa kutoa ushirikiano kwa kuhofia kumgusa namba 1 wake wa chama.

Maana yanaweza kumkuta yaliomkuta Chacha Wangwe akaiacha familia yake na ukiwa wa kujitakia.
 
Usikute na wewe ni baba wa familia ndio umechambua kwa uwezo wa ubongo wako wote
Ni kweli hujakosea, mimi ni baba wa familia ninaeona mbali na kuongea ukweli.

Tofauti na wewe mama wa familia unaogopa kufunguka ili usilimwe talaka na anaekuweka.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Baada ya kufuatilia kwa makini vile vinavyozungumziwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mhe Tundu Lisu, nimegundua kwamba jamaa amejipanga kujaribu kuuwa ndege wawili kwa wakati mmoja ili aweze kufanikiwa lengo lake la muda mrefu, japo inaonekana wazi kuwa kwa aina ya ndege anaotaka kuwaangusha, hakuna ndege hata mmoja ambae ataweza kumdondosha kwa namna yoyote ile itakayojaribu kuitumia.

1. Tukianza na ndege namba moja (mkuu wa wakuu wote)
Ndugu Lisu amekuwa akijaribu kupambana na mkuu huyu kwa kujaribu kumchafua kwa kumtupia lawama mbali mbali za kweli na zisizokuwa za kweli, ilimradi afanikiwe kumchafua, kumdhalilisha, kumvunja moyo na kumfanya aonekane hafai mbele ya wale anaowaongoza akiwemo yeye mwenyewe Lisu.

Kwa bahati mbaya au nzuri watanzania wa leo sio wale wa enzi za mwembeyanga, Soweto Arusha nk. Wa leo wengi wanajitambua na kuelewa kila kitu. Unaweza kuongea utumbo wako wakakupuuza na kukuacha uendelee kubaki na utumbo wako hivyo hivyo, au wengine wakaonesha kuunga mkono utumbo wako, lkn wakakupa adhabu kubwa katika sanduku la kura na kukufanya ubaki unalalamika mwenyewe.

2. Ndege namba mbili (namba moja wa chama chake)
Bila shaka ameshaona kuwa namba moja wa chama chake sio mpinzani wa kweli, ni mchumia tumbo anaeweka masilahi ya tumbo lake na familia yake mbele (kumbuka sakata la Lowasa), hivyo kwa yeye (namba 1 wake) kuendelea kuwa kitini kama kiongozi, ni njia moja wapo inayosababisha chama chao kishindwe kushika dola. Hivyo anajaribu kutupa makombora ambayo yatakuja kumsaidia yeye kupata uungwaji mkono wa kugombea unamba moja wa chama hicho hapo baadae (miezi kadhaa iliyobaki).

Mfano ameanza kuhoji aliemualika mkuu wa wakuu katika kilele cha siku ya wanawake duniani (happy woman's day) mwaka jana. Bila shaka anajua wazi ni nani alietoa wazo, au ruhusu ya mkuu huyo wa wakuu kualikwa, lkn kwa kuhofia kutengwa na chama chake katika uchaguzi ujao, ameshindwa kumface namba 1 wake huyo wa chama, na badala yake ameishia kuzungumka mbuyu kwa kuhoji aliemwalika adui yake (mkuu wa wakuu)

Pili ameanza kulalamika kuwa kuna pesa za mama Abdul (mkuu wa wakuu) zinatumika kupitisha watu wa kukiangamiza chama. Bila shaka ameshamjua mtu ambae aliwahi kwenda katika "jumba la taifa" kinyemela zaidi ya mara mbili kuonana na huyo mama Abdul (mkuu wa wakuu) bila kuwataarifu wenzake na wakapanga waliyoyapanga bila mtu mungine kinyume na waliokuwepo huko kujua kilichozungumziwa na kupangwa.

Hii inaonesha wazi kuwa huenda mhe Lisu sasa anataka kujitokeza kugombea unamba 1 wa chama ili akipeleke chama hicho kwa style ile anayotaka yeye kiende. Ila anahofia pesa za mama Abdul alizokabidhiwa namba 1 wao wa chama kisiri siri, zinaweza kutibua plan yake ya kushika unamba 1 wa chama, kwani namba 1 aliepo anaweza kutumia cheo chake, na pesa hizo (Lisu anadai zilitoka kwa mama Abdul) kuendelea kubaki kitini kwa miaka mingine mi5 ijayo. Hivyo ndugu Lisu akaendelea kuwa anadhibitiwa na watoa pesa hao kupitia makubaliano waliyopanga kati ya mkuu wa wakuu na namba 1 wa chama chao.

So kwa hali ilivyo ni ngumu mno kwa mzee Lisu kuwaangusha ndege hao, kwani wameshajipanga kwa pamoja kuhakikisha jamaa anakuwa debe tupu. Yani apewe uwanja wa kupiga kelele na kubwawaja apendavyo ila mwisho wa siku wamchinjie baharini. I mean hatopata unamba 1 wa chama chake, wala ule ukuu wa wakuu. Ataachwa aendelee tu kubwabwa na kupozwa na cheo cha ukatibu mkuu wa chama.

Ndomaana mpaka leo si namba 1 wa chama chake, wala mkuu wa wakuu aliejitokeza kumjibu anayoongea. Cause wanajua ni mbio za sakafuni tu zitakazoishia ukingoni.
Kuna njama za Mbowe kummaliza Lissu,ila lissu kambana mbavu mbowe,go lissu go.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Baada ya kufuatilia kwa makini vile vinavyozungumziwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mhe Tundu Lisu, nimegundua kwamba jamaa amejipanga kujaribu kuuwa ndege wawili kwa wakati mmoja ili aweze kufanikiwa lengo lake la muda mrefu, japo inaonekana wazi kuwa kwa aina ya ndege anaotaka kuwaangusha, hakuna ndege hata mmoja ambae ataweza kumdondosha kwa namna yoyote ile itakayojaribu kuitumia.

1. Tukianza na ndege namba moja (mkuu wa wakuu wote)
Ndugu Lisu amekuwa akijaribu kupambana na mkuu huyu kwa kujaribu kumchafua kwa kumtupia lawama mbali mbali za kweli na zisizokuwa za kweli, ilimradi afanikiwe kumchafua, kumdhalilisha, kumvunja moyo na kumfanya aonekane hafai mbele ya wale anaowaongoza akiwemo yeye mwenyewe Lisu.

Kwa bahati mbaya au nzuri watanzania wa leo sio wale wa enzi za mwembeyanga, Soweto Arusha nk. Wa leo wengi wanajitambua na kuelewa kila kitu. Unaweza kuongea utumbo wako wakakupuuza na kukuacha uendelee kubaki na utumbo wako hivyo hivyo, au wengine wakaonesha kuunga mkono utumbo wako, lkn wakakupa adhabu kubwa katika sanduku la kura na kukufanya ubaki unalalamika mwenyewe.

2. Ndege namba mbili (namba moja wa chama chake)
Bila shaka ameshaona kuwa namba moja wa chama chake sio mpinzani wa kweli, ni mchumia tumbo anaeweka masilahi ya tumbo lake na familia yake mbele (kumbuka sakata la Lowasa), hivyo kwa yeye (namba 1 wake) kuendelea kuwa kitini kama kiongozi, ni njia moja wapo inayosababisha chama chao kishindwe kushika dola. Hivyo anajaribu kutupa makombora ambayo yatakuja kumsaidia yeye kupata uungwaji mkono wa kugombea unamba moja wa chama hicho hapo baadae (miezi kadhaa iliyobaki).

Mfano ameanza kuhoji aliemualika mkuu wa wakuu katika kilele cha siku ya wanawake duniani (happy woman's day) mwaka jana. Bila shaka anajua wazi ni nani alietoa wazo, au ruhusu ya mkuu huyo wa wakuu kualikwa, lkn kwa kuhofia kutengwa na chama chake katika uchaguzi ujao, ameshindwa kumface namba 1 wake huyo wa chama, na badala yake ameishia kuzungumka mbuyu kwa kuhoji aliemwalika adui yake (mkuu wa wakuu)

Pili ameanza kulalamika kuwa kuna pesa za mama Abdul (mkuu wa wakuu) zinatumika kupitisha watu wa kukiangamiza chama. Bila shaka ameshamjua mtu ambae aliwahi kwenda katika "jumba la taifa" kinyemela zaidi ya mara mbili kuonana na huyo mama Abdul (mkuu wa wakuu) bila kuwataarifu wenzake na wakapanga waliyoyapanga bila mtu mungine kinyume na waliokuwepo huko kujua kilichozungumziwa na kupangwa.

Hii inaonesha wazi kuwa huenda mhe Lisu sasa anataka kujitokeza kugombea unamba 1 wa chama ili akipeleke chama hicho kwa style ile anayotaka yeye kiende. Ila anahofia pesa za mama Abdul alizokabidhiwa namba 1 wao wa chama kisiri siri, zinaweza kutibua plan yake ya kushika unamba 1 wa chama, kwani namba 1 aliepo anaweza kutumia cheo chake, na pesa hizo (Lisu anadai zilitoka kwa mama Abdul) kuendelea kubaki kitini kwa miaka mingine mi5 ijayo. Hivyo ndugu Lisu akaendelea kuwa anadhibitiwa na watoa pesa hao kupitia makubaliano waliyopanga kati ya mkuu wa wakuu na namba 1 wa chama chao.

So kwa hali ilivyo ni ngumu mno kwa mzee Lisu kuwaangusha ndege hao, kwani wameshajipanga kwa pamoja kuhakikisha jamaa anakuwa debe tupu. Yani apewe uwanja wa kupiga kelele na kubwawaja apendavyo ila mwisho wa siku wamchinjie baharini. I mean hatopata unamba 1 wa chama chake, wala ule ukuu wa wakuu. Ataachwa aendelee tu kubwabwa na kupozwa na cheo cha ukatibu mkuu wa chama.

Ndomaana mpaka leo si namba 1 wa chama chake, wala mkuu wa wakuu aliejitokeza kumjibu anayoongea. Cause wanajua ni mbio za sakafuni tu zitakazoishia ukingoni.
Akipewa uenyekiti jukumu lake la kwanza ni kuhakikisha Bavicha wote wanakuwa "upinde" kama yeye
 
Ni kweli hujakosea, mimi ni baba wa familia ninaeona mbali na kuongea ukweli.

Tofauti na wewe mama wa familia unaogopa kufunguka ili usilimwe talaka na anaekuweka.
Maisha hayajakupa kile unachokitaka jitahidi kuwa mwanaume acha kusimama kwenye uvulana
 
Uchunguzi unaendelea japo mtoa shutuma huenda akakwepa kutoa ushirikiano kwa kuhofia kumgusa namba 1 wake wa chama.

Maana yanaweza kumkuta yaliomkuta Chacha Wangwe akaiacha familia yake na ukiwa wa kujitakia.
Unaposema uchunguzi unaendelea, unamaanisha huyo mama ameshatiwa nguvuni?
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Baada ya kufuatilia kwa makini vile vinavyozungumziwa na makamu mwenyekiti wa Chadema mhe Tundu Lisu, nimegundua kwamba jamaa amejipanga kujaribu kuuwa ndege wawili kwa wakati mmoja ili aweze kufanikiwa lengo lake la muda mrefu, japo inaonekana wazi kuwa kwa aina ya ndege anaotaka kuwaangusha, hakuna ndege hata mmoja ambae ataweza kumdondosha kwa namna yoyote ile itakayojaribu kuitumia.

1. Tukianza na ndege namba moja (mkuu wa wakuu wote)
Ndugu Lisu amekuwa akijaribu kupambana na mkuu huyu kwa kujaribu kumchafua kwa kumtupia lawama mbali mbali za kweli na zisizokuwa za kweli, ilimradi afanikiwe kumchafua, kumdhalilisha, kumvunja moyo na kumfanya aonekane hafai mbele ya wale anaowaongoza akiwemo yeye mwenyewe Lisu.

Kwa bahati mbaya au nzuri watanzania wa leo sio wale wa enzi za mwembeyanga, Soweto Arusha nk. Wa leo wengi wanajitambua na kuelewa kila kitu. Unaweza kuongea utumbo wako wakakupuuza na kukuacha uendelee kubaki na utumbo wako hivyo hivyo, au wengine wakaonesha kuunga mkono utumbo wako, lkn wakakupa adhabu kubwa katika sanduku la kura na kukufanya ubaki unalalamika mwenyewe.

2. Ndege namba mbili (namba moja wa chama chake)
Bila shaka ameshaona kuwa namba moja wa chama chake sio mpinzani wa kweli, ni mchumia tumbo anaeweka masilahi ya tumbo lake na familia yake mbele (kumbuka sakata la Lowasa), hivyo kwa yeye (namba 1 wake) kuendelea kuwa kitini kama kiongozi, ni njia moja wapo inayosababisha chama chao kishindwe kushika dola. Hivyo anajaribu kutupa makombora ambayo yatakuja kumsaidia yeye kupata uungwaji mkono wa kugombea unamba moja wa chama hicho hapo baadae (miezi kadhaa iliyobaki).

Mfano ameanza kuhoji aliemualika mkuu wa wakuu katika kilele cha siku ya wanawake duniani (happy woman's day) mwaka jana. Bila shaka anajua wazi ni nani alietoa wazo, au ruhusu ya mkuu huyo wa wakuu kualikwa, lkn kwa kuhofia kutengwa na chama chake katika uchaguzi ujao, ameshindwa kumface namba 1 wake huyo wa chama, na badala yake ameishia kuzungumka mbuyu kwa kuhoji aliemwalika adui yake (mkuu wa wakuu)

Pili ameanza kulalamika kuwa kuna pesa za mama Abdul (mkuu wa wakuu) zinatumika kupitisha watu wa kukiangamiza chama. Bila shaka ameshamjua mtu ambae aliwahi kwenda katika "jumba la taifa" kinyemela zaidi ya mara mbili kuonana na huyo mama Abdul (mkuu wa wakuu) bila kuwataarifu wenzake na wakapanga waliyoyapanga bila mtu mungine kinyume na waliokuwepo huko kujua kilichozungumziwa na kupangwa.

Hii inaonesha wazi kuwa huenda mhe Lisu sasa anataka kujitokeza kugombea unamba 1 wa chama ili akipeleke chama hicho kwa style ile anayotaka yeye kiende. Ila anahofia pesa za mama Abdul alizokabidhiwa namba 1 wao wa chama kisiri siri, zinaweza kutibua plan yake ya kushika unamba 1 wa chama, kwani namba 1 aliepo anaweza kutumia cheo chake, na pesa hizo (Lisu anadai zilitoka kwa mama Abdul) kuendelea kubaki kitini kwa miaka mingine mi5 ijayo. Hivyo ndugu Lisu akaendelea kuwa anadhibitiwa na watoa pesa hao kupitia makubaliano waliyopanga kati ya mkuu wa wakuu na namba 1 wa chama chao.

So kwa hali ilivyo ni ngumu mno kwa mzee Lisu kuwaangusha ndege hao, kwani wameshajipanga kwa pamoja kuhakikisha jamaa anakuwa debe tupu. Yani apewe uwanja wa kupiga kelele na kubwawaja apendavyo ila mwisho wa siku wamchinjie baharini. I mean hatopata unamba 1 wa chama chake, wala ule ukuu wa wakuu. Ataachwa aendelee tu kubwabwa na kupozwa na cheo cha ukatibu mkuu wa chama.

Ndomaana mpaka leo si namba 1 wa chama chake, wala mkuu wa wakuu aliejitokeza kumjibu anayoongea. Cause wanajua ni mbio za sakafuni tu zitakazoishia ukingoni.
Wenye akili hatunamuelew ila ambao ham akili mmemuelewa
 
Unaposema uchunguzi unaendelea, unamaanisha huyo mama ameshatiwa nguvuni?
Unamkamataje mtu bila kujua kuwa alieongea ameongea kweli au ametumia siasa kudanganya kama alivyodanganya kwa Lowasa. Wewe unafikiri hao wachunguzi hawamjui jamaa kama ni muongo muongo anaeangalia upepo unaenda wapi ili afaidishe tumbo lake?
 
Unamkamataje mtu bila kujua kuwa alieongea ameongea kweli au ametumia siasa kudanganya kama alivyodanganya kwa Lowasa. Wewe unafikiri hao wachunguzi hawamjui jamaa kama ni muongo muongo anaeangalia upepo unaenda wapi ili afaidishe tumbo lake?
Sasa huyo mama, Lissu wasipoitwa kuhojiwa na TAKUKURU, tutajuaje ikiwa ni uongo au Kweli?
 
Back
Top Bottom