Lema yuko Sahihi Waislamu Wana Uwezo wa kuwatetea Wanasiasa wa Kiislam Lakini hawawezi kuwatetea Wanazuoni wa Kiislam!

mkuu hiki unachofanya ni utoto tu,mada mezani ni dini ipi ikiimeza au kuizidi nyingine kunakuwa na uvumilivu wa kiimani.

ndio marekani sio nchi ya kikristo,hata hapo vatkan bado muislam anaweza kufugika bila shida yoyote,akanenepa kabisa kama mfugo mwingine huku akiendelea kumtukuza Allah.kimbembe ni jambo hili kuwa kinyume chake sasa.

mkristo anaweza chinjwa kabisa.
Taja mifano ya hizi nchi tuone, taja tano
 
mkuu hiki unachofanya ni utoto tu,mada mezani ni dini ipi ikiimeza au kuizidi nyingine kunakuwa na uvumilivu wa kiimani.

ndio marekani sio nchi ya kikristo,hata hapo vatkan bado muislam anaweza kufugika bila shida yoyote,akanenepa kabisa kama mfugo mwingine huku akiendelea kumtukuza Allah.kimbembe ni jambo hili kuwa kinyume chake sasa.

mkristo anaweza chinjwa kabisa.
Nyie na Marekani mnafanana kwa vile wote mnasapot ndoa za jinsia moja ,sio kejeli ila ukweli upo wazi papa kasema😅😅..



Kutajwa neno Ramadhani hajataja waislamu basi mshapania huo uvumili wa kidini mtatoa wapi?

Ujinga unaanzia juu haswa kumchukua Rais mpaka uteuzi wake..Ukiwa mjinga ndio utaleta udini kwa sababh neno Ramadan linatajwa sana hata ukitaka ushahidi nakuletea kwamba ni kipind watu wanapandisha vyakula bei haswa sukari kwa vile inahitajika.


Sina nia mbaya ila kuwa honest hata wewe haujafunga hata uende Mbeya kwaresma haina nguvu...Isipokuwa msimu wa x mass pakuwa na mpaka offer zinatangazwa mbona waislamu hawasemi?

Kitendo cha kukemea vitu kuwa bei chini haswa Kilimanjaro kipind cha X mass mbona waislamu haowaoni kama udini?
 
Nyie na Marekani mnafanana kwa vile wote mnasapot ndoa za jinsia moja ,sio kejeli ila ukweli upo wazi papa kasema😅😅..
mkuu wewe meno 32 ujue kuanzia leo,kwamba utampeleka punda mtoni ila yeye kunywa maji ni swala jingine.

mtu mzima kama wewe hata,tungeweka adhabu ya kifo,ukiamua kukatwa utakatwa tu kwa namna yoyote ile.by the way marekani kuna waislam pia nao wako kwenye ruhusa hiyo.
Kutajwa neno Ramadhani hajataja waislamu basi mshapania huo uvumili wa kidini mtatoa wapi?
labda ukatae wewe sasa kwamba ramadhan haihusiki na uislam.sisi kuwapenda nyinyi hatuigizi,tunawapenda kweli pamoja na mapungufi yenu,tunataka mbadilike siku moja.
Ujinga unaanzia juu haswa kumchukua Rais mpaka uteuzi wake..Ukiwa mjinga ndio utaleta udini kwa sababh neno Ramadan linatajwa sana hata ukitaka ushahidi nakuletea kwamba ni kipind watu wanapandisha vyakula bei haswa sukari kwa vile inahitajika.
bei zinapandishwa sababu kuna ongezekp la mahitaji ya bidhaa,tofauti na upungufu wa matumizi kama lilivyokusudiwa.watu ndio mnakula balaa kipindi cha mfungo.
Sina nia mbaya ila kuwa honest hata wewe haujafunga hata uende Mbeya kwaresma haina nguvu...Isipokuwa msimu wa x mass pakuwa na mpaka offer zinatangazwa mbona waislamu hawasemi?
sisi hatufungi ili wewe ujue,tunafunga na nafsi zetu,ofa ni jambo jema hata eid zinatangazwa,ila sukari na viazi kupanda bei hii sip ofa.
Kitendo cha kukemea vitu kuwa bei chini haswa Kilimanjaro kipind cha X mass mbona waislamu haowaoni kama udini?
sasa haya ndio tunayataka,xmass ni neema kwa wote haipaswi kuwa mwiba kwa wengine.
kama msimu wa xmass nauli hupanda,kuelekea juu kaskazini,hili ni jambo la kukemewa pia.
 
Nyie na Marekani mnafanana kwa vile wote mnasapot ndoa za jinsia moja ,sio kejeli ila ukweli upo wazi papa kasema😅😅..
mkui wewe naeno 32 ujue kuanzia leo,kwamba utampeleka punda mtoni ila kunywa maji ni swala jingine.

mti mzima kama wewe hata,tungeweka adhabu ya kifo,ukiamua kukatwa utakatwa tu kwa namna yoyote ile.by the way marekani kuna waislam pia nao wako kwenye ruhusa hiyo.
Kutajwa neno Ramadhani hajataja waislamu basi mshapania huo uvumili wa kidini mtatoa wapi?
labda ukatae wewe sasa kwamba ramadhan haihusiki na uislam.sisi kuwapenda nyinyi hatuigizi,tunawapenda kweli pamoja na mapungufi yenu,tunataka mbadilike siku moja.
Ujinga unaanzia juu haswa kumchukua Rais mpaka uteuzi wake..Ukiwa mjinga ndio utaleta udini kwa sababh neno Ramadan linatajwa sana hata ukitaka ushahidi nakuletea kwamba ni kipind watu wanapandisha vyakula bei haswa sukari kwa vile inahitajika.
bei zinapandishwa sababu kuna ongezekp la mahitaji ya bidhaa,tofauti na upungufu wa matumizi kama lilivyokusudiwa.watu ndio mnakula balaa kipindi cha mfungo.
Sina nia mbaya ila kuwa honest hata wewe haujafunga hata uende Mbeya kwaresma haina nguvu...Isipokuwa msimu wa x mass pakuwa na mpaka offer zinatangazwa mbona waislamu hawasemi?
sisi hatufungi ili wewe ujue,tunafunga na nafsi zetu,ofa ni jambo jema hata eid zinatangazwa,ila sukari na viazi kupanda bei hii sip ofa.
Kitendo cha kukemea vitu kuwa bei chini haswa Kilimanjaro kipind cha X mass mbona waislamu haowaoni kama udini?
sasa haya ndio tunayataka,xmass ni neema kwa wote haipaswi kuwa mwiba kwa wengine.
kama msimu wa xmass nauli hupanda,kuelekea juu kaskazini,hili ni jambo la kukemewa pia.
 
Nyie na Marekani mnafanana kwa vile wote mnasapot ndoa za jinsia moja ,sio kejeli ila ukweli upo wazi papa kasema..



Kutajwa neno Ramadhani hajataja waislamu basi mshapania huo uvumili wa kidini mtatoa wapi?

Ujinga unaanzia juu haswa kumchukua Rais mpaka uteuzi wake..Ukiwa mjinga ndio utaleta udini kwa sababh neno Ramadan linatajwa sana hata ukitaka ushahidi nakuletea kwamba ni kipind watu wanapandisha vyakula bei haswa sukari kwa vile inahitajika.


Sina nia mbaya ila kuwa honest hata wewe haujafunga hata uende Mbeya kwaresma haina nguvu...Isipokuwa msimu wa x mass pakuwa na mpaka offer zinatangazwa mbona waislamu hawasemi?

Kitendo cha kukemea vitu kuwa bei chini haswa Kilimanjaro kipind cha X mass mbona waislamu haowaoni kama udini?
Kama vyakula vinapanda bei kipindi Fulani maana yake mahitaji ni makubwa hivyo inaonesha watu wanakula sana kipindi hicho.
 
Ndio nakuambia kapigwa na wagalatia wenzie risasu mbona hamsemi ,mmebaki mnatetea vyama.

Nan asiyejua kapigwa na wagalatia wenzie mpaka kawa mlemavu nyie ni makatili kabisa.
Lakini Uliona Wagalatia walivyomtetea bila kujali Itikadi zao, Mwigullu Nchemba alibeba Machela kumpandisha kwenye Ndege kuelekea Nairobi
 
Lakini Uliona Wagalatia walivyomtetea bila kujali Itikadi zao, Mwigullu Nchemba alibeba Machela kumpandisha kwenye Ndege kuelekea Nairobi
Kapigwa na nan?😅😅😅Aliyeachia malimbikizo yake ni nan?

Hicho chama chenye wagalatia 99% uongozi wa juu ,nan aliachia ruzuku zao za miaka?

Achani unafiki na ujuha .!
 
Kama vyakula vinapanda bei kipindi Fulani maana yake mahitaji ni makubwa hivyo inaonesha watu wanakula sana kipindi hicho.
Kupika hata nyie katikq kupost X mass juzi sijaona hata andazi ,bites hakuna kabisa kifupi hampiki
 
Machafuko yameanzisha na Mkapa , Mrema alikuwa katika ishu za ulinzi , waislamu wakidai haki zao wanaitwa magaidi.

Mrema hajawahi kuwasaidia waislamu maana serikali ndio ilianzisha matatizo na kuyamaliza baada ya kuona hamna ishu wao kwa wao walikuwa wanapingana... Waislamu wakipeana consciousness basi itakuwa ni ishu ya ugaidi...
Muislam Koko hukosekani kwenye mijadala inayowahusu Waganga wa Kienyeji!!

Ndo maana Myahudi amewawahisha kwenda kugombea mabikra mbinguni
 
Ngoja siku patokee machafuko wa kidini ndio akili yako itakaa sawa...


Kama ulikuwa hujui ile ishu mkapa alishakiri na ujumbe ulisambaa ile ishu iishe kwa vile nchi inahitaji amani ,yaliyotokea basi watu wasamehe maana ni bora ..

Waislamu kila siku wakidai hiyo ishu unafikria patakuwa na amani hapa nchini? Kupiga risasa shekhe ponda hata Tundu lissu je uliona hukumu yoyote?

Huyo lisu ni mlemavu kapigwa chuma na wagalatia wenzie bado anapata dhihaka hao Chadema wapo bussy na katiba mpyakudai ruzuku.
Chadema inaingiaje kwenye maujinga yako?.Pambaneni namaujinga yenu uko.ujalazimishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kapigwa na nan?😅😅😅Aliyeachia malimbikizo yake ni nan?

Hicho chama chenye wagalatia 99% uongozi wa juu ,nan aliachia ruzuku zao za miaka?

Achani unafiki na ujuha .!
Kwani CCM kuna Waislam?

Bakwata hii ya Saleh Masasi ni Islam?

Labda hujui CCM na Historia yake, CUF ndio waliokuwepo Waislam hawa akina Ponda kabla Mseminari Ben Lupaso hajawanyoosha!
 
Machafuko yameanzisha na Mkapa , Mrema alikuwa katika ishu za ulinzi , waislamu wakidai haki zao wanaitwa magaidi.

Mrema hajawahi kuwasaidia waislamu maana serikali ndio ilianzisha matatizo na kuyamaliza baada ya kuona hamna ishu wao kwa wao walikuwa wanapingana... Waislamu wakipeana consciousness basi itakuwa ni ishu ya ugaidi...

Nyie mnaacha kuhubiri pepo, mnaanza kufundishana ugaidi na upinzani dhidi ya katiba.
 
mkuu kila sehemu ambapo kuna waislam na kuna vurugu isiyo ya kukarika ni haki waislam wanaidai au inategemea na rangi za wahusika!!!

waislam wa mwembechai na baadae uamsho walikuwa wanadai haki gani??

Mafundisho yao ni chuki, chuki, chuki. Wala hawamjui adui yao. Ndiyo maana Mashariki ya kati ni uwanja wa vita miongo na miongo.
 
Utamteteaje Mwanazuoni anaetangaza Jihaadi dhidi ya Makafiri huyo Shehe wacha aozee ndani.
 
Pamoja na mapungufu ya Godbless Lema Lakini angalizo kwa ndugu zake Waislamu limebeba Uzito wake

Utakuta Wanazuoni wa Kiislam walioko magerezani kwa kesi za ugaidi watetezi wao huwa ni Wakristo na wala siyo Waislamu wenzao hali inayopelekea wengine kufungwa na kunyongwa

Kwa maana nyingine Lema amesema si vema Mujahideen kuwa Chawa wa binadam bali muwe Chawa wa Allah

Hata machafuko ya Mwembechai aliyeyazima ni Mgalatia Augustine Mrema rip

Tumvumilie Lema kwa Unabii wake

Sabato njema
Na waarabu nao hivyo hivyo. Wanaitetea Marekani wakati ndugu zao wapalestina wanauawa kila siku huko Gaza
 
Back
Top Bottom