Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,431
Mkuu naomba msaada wako kuhusu kesi ya kutishiwa kuuwa kwa maneno nisome vitabu gani ili niweze kutoa ushaidi wenye weledi usiyo na shaka
sheria zipoHivi hakunaga sheria hata za mahakama za mwanzo,za kiswahili ili tusiwe tunahonga mapolisi hovyo kwa makosa ya kubambikiwa?
kuwa specific mkuu notes, act u sample ya willhabari humu naomba mwenye documets kuhusiana mgawanyo wa mali za marehemu ( non indian Act ) asante
Leta scenario yako tuu hapa tuijadiliNAOMBA MWANASHERIA WA MAMBO YA KAZI
kesi haijaisha bado???Mkuu naomba msaada wako kuhusu kesi ya kutishiwa kuuwa kwa maneno nisome vitabu gani ili niweze kutoa ushaidi wenye weledi usiyo na shaka
mkuu si tufufuke now tupo wengine😁ulikufa zamani sna baada ya Dragoon kutoroka
Mkuu nisaidie kujaza fomu ya cma F1Leta scenario yako tuu hapa tuijadili
Leta scenario tujue kwanza unaendaje CMA...Mkuu nisaidie kujaza fomu ya cma F1
Watu wameamia telegram... tuliobaki humu hatupo organized... mfano kama nafahamu Retired ni mwanasheria nakuja humu naomba documents nakutag na wengine ninao wafahamu ili iwe rahisiHivi jamani what happened to Dragoon? aliondoka na uzi umekuwa kama mfu!
asante sana, how do you join telegram?Watu wameamia telegram... tuliobaki humu hatupo organized... mfano kama nafahamu Retired ni mwanasheria nakuja humu naomba documents nakutag na wengine ninao wafahamu ili iwe rahisi
Telegram kuna group la All legal documents lipo vizuri
Link hii hapa ALL LEGAL DOCUMENTS 📚📙📜asante sana, how do you join telegram?
Ukijoin kwenye sehemu ya menu ya group kuna sehemu imeandikwa files unasearch document unayotakaasante sana, how do you join telegram?
affidavit zipo nyingi unataka ya nini labda kuwa specificMnisaidie Affidavit
Wanandugu