jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,749
- 2,829
Huyu kuna namna.. na Chadema wanamjua sana tu, asijione mwerevu. Ndio maana Mbowe alimkatalia msaada wake wa kumkodia Lissu ndege, wakati alipopigwa zile risasi.. Pengine wangemmaliza Lissu wa watu hawa. Wakina Mbowe wanamjua sana tu, asitake wamuongelee.