Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
[h=1]HP Pavilion dv6[/h]RAM : 4GB
Processor : core i5
Hard Disk Drive : 500GB
DVD-RW
WEBCAM
Battery last up to 3 hours
Who come first take it first
Price: Tsh 530,000/= (negotiable)
Contact: +255769142586 call/sms/whatsapp
Sio computer hizo.zina overheating balaa.zinakufaga board.hazifai
Aisee mwenzio anatangaza wewe unatawanya bye
Sio computer hizo.zina overheating balaa.zinakufaga board.hazifai
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
Kaka nipigie 0653 457659
Kiroho kinamuuma yaani ana wivu kama mwanamke. sasa mwambie athibitshe madai utaona anavyobaki kung'aa macho kama paka kabanwa na mlango.
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
Ha ha ha usijali ndiyo bin adamu hao
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
Sio fresh mkuu kuharbu business za watu
Naona mnanishambulia.Mimi nime comment kwa jinsi ninavyozijua HP pavilion Dv series. Kosa langu liko wapi?uliza mafundi wote kuhusu pavilion dv series. Mother board zinakufa.na motherboard no $250.zilitengezwa kwa ajili ya nchi za baridi.ndiyo maana hakuna pavilion dv series dukani.zote ni used na coz hazitengenezwa kwa ajili ya Africa.
Naona mnanishambulia.Mimi nime comment kwa jinsi ninavyozijua HP pavilion Dv series. Kosa langu liko wapi?uliza mafundi wote kuhusu pavilion dv series. Mother board zinakufa.na motherboard no $250.zilitengezwa kwa ajili ya nchi za baridi.ndiyo maana hakuna pavilion dv series dukani.zote ni used na coz hazitengenezwa kwa ajili ya Africa.
Sio computer hizo.zina overheating balaa.zinakufaga board.hazifai