Kwanini Wamachinga Wanawake Watatu wa Nzega waliandaliwa Meza yao, walikuwa Wanajiamini na hawajulikani sana hapo Sokoni Nzega?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,509
Halafu Director wa Movie hakumpa Mazoezi ya Kutosha Actress kwani kuna mahala alipokuwa akimhoji Mmachinga Feki wa Kike wa Nzega ( ambao Watu wa Mwenge na Makumbusho ) Dar es Salaam huwa Wanamuona alikuwa akiharibu kwa kila mara Kumuuliza kwanini Yeye ni Mrembo na ni Mmachinga?

Actress wa Movie hakutakiwa Kuandaliwa sehemu yake ya Kukaa na Kukutana na hao Wamachinga Feki wa Kike waliopewa Hela huku Wawili wakiwa ni Wenyeji wa Mwenge Makumbusho ambao nao Waliandaliwa Meza yao huku Bidhaa zao za Nyanya na Vitunguu vikiwa mbele yao.

Siku zingine mkitaka Kutengeneza Movies nzuri ambazo zitawafanya msishtukiwe upesi na wenye Akili Kubwa kuwazidi muwe mnanitafuta GENTAMYCINE ili niwatengenezeeni.

Haya mwambieni huyo Mmachinga Feki wa Kike aliyeulizwa kwanini Yeye ni Mrembo na anauza Nyanya Soko la Nzega arudishe hizo Nguo Kuu Kuu alizozivaa kwa Wenye nazo avae zake zile za Gharama na akirejea Dar es Salaam leo tukutane pale Tarakea Mwenge tunywe pamoja Maziwa ya Mtindi na Korosho.
 
Halafu Director wa Movie hakumpa Mazoezi ya Kutosha Actress kwani kuna mahala alipokuwa akimhoji Mmachinga Feki wa Kike wa Nzega ( ambao Watu wa Mwenge na Makumbusho ) Dar es Salaam huwa Wanamuona alikuwa akiharibu kwa kila mara Kumuuliza kwanini Yeye ni Mrembo na ni Mmachinga?

Actress wa Movie hakutakiwa Kuandaliwa sehemu yake ya Kukaa na Kukutana na hao Wamachinga Feki wa Kike waliopewa Hela huku Wawili wakiwa ni Wenyeji wa Mwenge Makumbusho ambao nao Waliandaliwa Meza yao huku Bidhaa zao za Nyanya na Vitunguu vikiwa mbele yao.

Siku zingine mkitaka Kutengeneza Movies nzuri ambazo zitawafanya msishtukiwe upesi na wenye Akili Kubwa kuwazidi muwe mnanitafuta GENTAMYCINE ili niwatengenezeeni.

Haya mwambieni huyo Mmachinga Feki wa Kike aliyeulizwa kwanini Yeye ni Mrembo na anauza Nyanya Soko la Nzega arudishe hizo Nguo Kuu Kuu alizozivaa kwa Wenye nazo avae zake zile za Gharama na akirejea Dar es Salaam leo tukutane pale Tarakea Mwenge tunywe pamoja Maziwa ya Mtindi na Korosho.
Genta wa Genta duh!!!
 
Halafu Director wa Movie hakumpa Mazoezi ya Kutosha Actress kwani kuna mahala alipokuwa akimhoji Mmachinga Feki wa Kike wa Nzega ( ambao Watu wa Mwenge na Makumbusho ) Dar es Salaam huwa Wanamuona alikuwa akiharibu kwa kila mara Kumuuliza kwanini Yeye ni Mrembo na ni Mmachinga?

Actress wa Movie hakutakiwa Kuandaliwa sehemu yake ya Kukaa na Kukutana na hao Wamachinga Feki wa Kike waliopewa Hela huku Wawili wakiwa ni Wenyeji wa Mwenge Makumbusho ambao nao Waliandaliwa Meza yao huku Bidhaa zao za Nyanya na Vitunguu vikiwa mbele yao.

Siku zingine mkitaka Kutengeneza Movies nzuri ambazo zitawafanya msishtukiwe upesi na wenye Akili Kubwa kuwazidi muwe mnanitafuta GENTAMYCINE ili niwatengenezeeni.

Haya mwambieni huyo Mmachinga Feki wa Kike aliyeulizwa kwanini Yeye ni Mrembo na anauza Nyanya Soko la Nzega arudishe hizo Nguo Kuu Kuu alizozivaa kwa Wenye nazo avae zake zile za Gharama na akirejea Dar es Salaam leo tukutane pale Tarakea Mwenge tunywe pamoja Maziwa ya Mtindi na Korosho.
Changa Moto
 
Ajabu ni pale mmachinga kumuambia anunue zote na kujibiwa akinunua zote wateja wake watanunua nini? Ukweli hawa wamachinga hupangwa, kwa ulinzi ule nanaouita security tight hakuna mwananchi anayeweza kukaribiana na rais kiasi kile. Ulinzi umekuwa mkubwa sana kwa rais kiasi cha kutengwa mbali eneo alipokaa na kuhutubia, wengine mtafungiwa tv kubwa mmtazame mkiwa mbali nae. Kwa magufuli mwenyewe pamoja na ukali wake iliwezekana kulikaribia jukwaa karibu anakohutubia licha ya yeye kuanza kuwa na ulinzi mkubwa na wa ajabu kuliko wenzake waliomtangulia. Kwa ulinzi ule hasa ukiyaangalia yale majamaa yaliyoshika bunduki kali na hayacheki na mtu utatetemeka tu kama we ni mwananchi wa kawaida rais kakuibukia kwenye umachinga wako bila kuandaliwa
 
Kuna wale wa enzi za magufuli, wauza madafu, karanga, mahindi na kahawa. Wenye akili za kufikiri tulijiuliza sana inakuaje rais na ulinzi wote ule afakamie kunywa dafu kwa mtu asiyemfahamu? Kula mahindi kiholela kwa muuza mahindi tu barabarani na hafahamiki, je akivimbiwa na kuumwa tumbo nani atalaumiwa kwa uzembe wa majukumu ya kazi yake ya ulinzi wa rais? Anyway inatosha kuamini kuwa hawa ni wamachinga wa kawaida na hawafahamiki
 
Mbowe ndiye muanzilishi wa mtindo huu wa kufakamia bidhaa za wamachinga mitaani. Alifakamia kula chipsi akiziita zege kwa muuza chipsi mmoja mitaani, haijulikani kama alimpanga au hakumjua kabisa.

All in all hawa wanasiasa hujipendekeza kwa wananchi wa kawaida ili ionekane wako karibu nao na ikifika wakati wa kupiga kura wavune kura zao kirahisi.

Kama ni hivyo akina madelu, mwezi wa kwanza, lissu na wengine wanye nia ya kutaka kukalia kiti cha enzi kuu waanze kula kwa mama lishe magengeni tuone wanajali wananchi wa hali za chini.

Kuna wabunge wameanzisha staili ya kulia hadi kutoa machozi ili tu waonekane wana uchungu na matatizo ya wananchi kumbe ni kujijenga kisiasa ili waje wapate kura za huruma kwa kutoa machozi.

Wengine wanabinuka sarakasi bungeni, wanajenga brand zao kisiasa ili kuimarisha ngome zao dhidi ya wapinzani wao wa kisiasa.

Muda wa kufanya vituko vya kisiasa umewadia kila mwanasiasa atafanya awezavyo ili aonwe na wananchi na avune kura zao
 
Magu alikuwa anafakamia tu yule
nijuavyo mimi wanausalama huwa wanahakikisha hakuna mtu wa kuzengeana kiholela na rais anasogezwa mbali. Sasa huyo mpaka rais anamuona ina maana ameandaliwa na kupangwa ili rais akifakamia bidhaa yake ale ikiwa salama pasina shaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom