Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 912
- 4,249
Kwa miaka kumi tumeona wakuu wa wilaya na mikoa wakichapa na kupiga subordinate wao na kuishia kutenguliwa uteuzi kisha baada ya muda kuteuliwa tena.
Tumeshuhudia viongozi kama Naibu Waziri akituhumiwa kunyanyasa mwajiriwa lakini hakuna chombo kinachochunguza na hata wanaotaka kuchukua hatua wanakatazwa na viongozi wale wale wanaodai wanapinga ukatili
Tumeona wakurugenzi na katibu tawala wakishukiwa sometimes kwa kubaka lakini hakuna Sehemu serikali inatoka adharani kuchukua hatua za kisheria.
Lakini juzi tumeona kichaa Kabaka kuku magazeti na vyombo vya dola vimeripoti wiki nzima na mjadala mkali ukiendelea. Tumeshuhudia waziri Gwajima akisikia maskini ametuhumiwa kwa tukio la unyanyasaji anakuja hapa Jf na kujibu hoja asubuhi mpaka jioni. Tumeshuhudia wanaharakati wanaposikia ubakaji kanda ya ziwa na mikoa ya kusini wanakimbia kwenda kuripoti; Je, sheria imetoa kinga kwa viongozi kutochukuliwa hatua kwa unyanyasaji?
Unyanyasaji linakuwa kosa pale linapofanywa na masikini tu?
Tumeshuhudia viongozi kama Naibu Waziri akituhumiwa kunyanyasa mwajiriwa lakini hakuna chombo kinachochunguza na hata wanaotaka kuchukua hatua wanakatazwa na viongozi wale wale wanaodai wanapinga ukatili
Tumeona wakurugenzi na katibu tawala wakishukiwa sometimes kwa kubaka lakini hakuna Sehemu serikali inatoka adharani kuchukua hatua za kisheria.
Lakini juzi tumeona kichaa Kabaka kuku magazeti na vyombo vya dola vimeripoti wiki nzima na mjadala mkali ukiendelea. Tumeshuhudia waziri Gwajima akisikia maskini ametuhumiwa kwa tukio la unyanyasaji anakuja hapa Jf na kujibu hoja asubuhi mpaka jioni. Tumeshuhudia wanaharakati wanaposikia ubakaji kanda ya ziwa na mikoa ya kusini wanakimbia kwenda kuripoti; Je, sheria imetoa kinga kwa viongozi kutochukuliwa hatua kwa unyanyasaji?
Unyanyasaji linakuwa kosa pale linapofanywa na masikini tu?