Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,247
Katika uongozi uliopita kila kitu ilikuwa amri na bunge lilikosa kabisa uelekeo wake mana wanachojadili kinaweza kupinduliwa kibabe na asiwepo wa kuhoji.
Ikatengenezwa image kwamba wapinzania ni maadui wa nchi kumbe siyo kweli. Mpaka lisu akashambuliwa kwa masasi eti ni msaliti while in actual fact alikuwa mwiba kwa jiwe tu na udictator wake na makesi kibao yalirundikwa kwake lakini kila jaji anamwogopa Lissu.
Sasa nauliza kwa nini Hao wanaojiita wasomi wakienda contrary na wanachofundisha? Kwa sababu daradani Kuna Somo la human rights na rule of law ila wakavikana vyote hivyo
Ikatengenezwa image kwamba wapinzania ni maadui wa nchi kumbe siyo kweli. Mpaka lisu akashambuliwa kwa masasi eti ni msaliti while in actual fact alikuwa mwiba kwa jiwe tu na udictator wake na makesi kibao yalirundikwa kwake lakini kila jaji anamwogopa Lissu.
Sasa nauliza kwa nini Hao wanaojiita wasomi wakienda contrary na wanachofundisha? Kwa sababu daradani Kuna Somo la human rights na rule of law ila wakavikana vyote hivyo