Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 75,011
- 156,354
Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Kwa sababu warabu wanapenda majiniMalaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Malaika hawana majina Ya kizungu ila Ni Majina ya Kiyahudi na Majinu yameanza kufahamika Story zake kutoka kwa Waarabu so Kabla ya Hapo hakukuwa na Story za MAJINI...Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
Kwann yawe ya kiyahud na sio ya kipalestina?Malaika hawana majiba Ya kizungu ila Ni Majina ya Kiyahudi
Asante Dr, kwanini ya kiyahudi na hawa maimuna kiarabu?Malaika hawana majiba Ya kizungu ila Ni Majina ya Kiyahudi
Palestina Imetokana na Jina Philistine au Wafiliti wafilisti hawakuwa Miongoni mwa Waebrania..Kwann yawe ya kiyahud na sio ya kipalestina?
Weka uzi mkuu unahusiana na hao viumbe umetiririka vyema!UMMY SUBIAN
ummy subian ni jini wa kike ni malkia wa jide chini ya bahari mavazi yake mekundu Pete zake nyekundu ni moja kati ya majini wakorofi akiwa kwako harafu hujatafuta Pete yake atakuadabisha huyu ummy subian yupo chini ya utawala wa sharif sultan bin daud subian ni miongoni mwa maruhaniyat wa kisharifu apa nazungumzia subian mwema kwanza jini huyu ummy subian ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan hizi ni koo kubwa za kijini zinazoelewana sana ummy subian ni miongoni mwa majini wenye cheo ujinini na Wana Mali sana wakikutunuku kitu shida utakisikia Kwa jirani tu na kama yupo Kwa mwanaume basi mwanaume huyo atakua na mvuto mkali sana Kwa wanawake ila jini uyu anapenda uwe msafi ujipende apo mtaendana arafu ukiwa wapenda nguo nyekundu utamfurahisha ummy subian ana uwezo wa kubadilika zaidi ya mara Tano mtu MWENYE jini huyu ukimkorofisha kimbia subian hapend mtu wake aonewe ni jini mwenye Mali ila mkorofi Mali zake zikitumiwa vibaya ukiwa nae huwez kosa jini kama ruhan ila ruhan yeye Mpore mara nyingi utakuta yeye anakutawala sana kuliko ruhani japo ruhani ni mkubwa Kwa subiani ruhan yeye anatoa tu amri subian anatekeleza ruhan ni kiongoz wake subian yupo Kwa ulinzi ila ruhan ni bosi mtoa amri labda itokee jambo zito apo ruhan ataingilia kutetea ila mara nyingi utakuta yeye ametulia tu anampa amli subian ukienda nao sana Kila kitu kwako kitakua mtelemko ukiona wateseka ujue wamefungwa au wanadai Pete yao ili wakutumikie na sio Kila mtu anao Kuna baadhi ya wanadamu Wana nyota Kali kiasi Cha kuwavutia Hawa viumbe mara nyingi wanakuja kwako Kwa kuvutiwa na nyota yako ili wakupe kile walichojaaliwa na muumba wao na kukuwekea ulinzi ili wanadam na majini wabaya wasikudhuru hiyo ni Pete ya ummy subian
View attachment 2978858
Waanzilishi wa Majini Ni WAARABU hapo kabla!Asante Dr, kwanini ya kiyahudi na hawa maimuna kiarabu?
Niliposilimu mwaka 2011 Sikupewa Jina la Kiarabu Niliendelea na Jina langu...Uislamu unaamini kuna majini walisilimu baada ya kusoma quran na ukisilimu lazima upewe jina la Kiarabu hii ndiyo maana majini wana majina ya kiarabu waliyoyachagua baada ya kusilimu
Kati ya Waebrania na biblia/Malaika kipi kilianza? Hivyo kipi kimetoka kwa mwenzake?Na majina ya Malaika,Biblia Na theology imetoka kwa Waebrania
Kwani malaika aliyebadilika kuwa Shetani mkuu si jina lake la kuzungu au?Malaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?
wafilist mbabe wao alipigwa manati na chalii daudi na leo watabe wao wanapigwa na grandpa neta nyauPalestina Imetokana na Jina Philistine au Wafiliti wafilisti hawakuwa Miongoni mwa Waebrania..
Na majina ya Malaika,Biblia Na theology imetoka kwa Waebrania
Biblia Ni hadithi za Waebrania kuhusu Mungu wa Waebrania..Kati ya Waebrania na biblia/Malaika kipi kilianza? Hivyo kipi kimetoka kwa mwenzake?
mafundisho/maandiko toka kwenye biblia vs QuranMalaika Gabriel, Raphael, Gadiel, etc
Jini Sharif, Maimuna, etc
Kwanini?