Hivi karibuni nimejikuta naanza kuhoji baadhi ya vitu ambavyo ninaamini wengi tunavifanya kwa mazoea.
Jinsi ya kusali kwa kufumba macho ni kitu kingine ningependa kujua msingi wake.Je nisipofumba macho,nitakuwa nimepoteza nini?
Mambo mengi yameingia katika ukristo kidogo kidogo na vizazi vinarithi na kushindwa kuhoji. Nikiviorodhesha ni vingi sana,na ukiuliza kanisani wale wanaojifanya watakatifu zaidi kuliko watu wengine, watakukemea na hata kujengewa chuki.Naamini hapa wapo wateule wa Mungu wanaweza kunipa maarifa.
Asante sana
Jinsi ya kusali kwa kufumba macho ni kitu kingine ningependa kujua msingi wake.Je nisipofumba macho,nitakuwa nimepoteza nini?
Mambo mengi yameingia katika ukristo kidogo kidogo na vizazi vinarithi na kushindwa kuhoji. Nikiviorodhesha ni vingi sana,na ukiuliza kanisani wale wanaojifanya watakatifu zaidi kuliko watu wengine, watakukemea na hata kujengewa chuki.Naamini hapa wapo wateule wa Mungu wanaweza kunipa maarifa.
Asante sana