Kwanini haya Matatizo ya Kinidhamu ya Kipa Metacha Mnata yanafanywa Siri? Kaharibu tena baada ya Kusamehewa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,115
110,505
Mwambieni GENTAMYCINE namshauri ili atulie Yanga SC na asiendelee kuwa na Matatizo ya Kinidhamu ndani ya Timu na kwa Viongozi aachane na huyo Mganga wa Kienyeji anayemsaidia ili Kumshusha Kipa Djigui Diarra na aaminiwe Yeye kwani Ndumba zake zote zinadunda kwa Raia wa Mali Kipa Diarra ambaye Kipa Kinda aliyekuwa Yanga SC ameniambia Jamaa ( Kipa Diarra ) harogeki kwani Kaaga Kwao na yuko vizuri mno ki Ndumba.
 
Back
Top Bottom