GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,115
- 110,505
Mwambieni GENTAMYCINE namshauri ili atulie Yanga SC na asiendelee kuwa na Matatizo ya Kinidhamu ndani ya Timu na kwa Viongozi aachane na huyo Mganga wa Kienyeji anayemsaidia ili Kumshusha Kipa Djigui Diarra na aaminiwe Yeye kwani Ndumba zake zote zinadunda kwa Raia wa Mali Kipa Diarra ambaye Kipa Kinda aliyekuwa Yanga SC ameniambia Jamaa ( Kipa Diarra ) harogeki kwani Kaaga Kwao na yuko vizuri mno ki Ndumba.