Kwani nyie viongozi wa Simba Juma Mgunda ana shida gani hadi mnaokota okota makocha?

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
453
1,797
Mmeachana na Benchika nimefurahi sana, ana cv kubwa lakn uwezo wa kawaida tu, hana mbinu wala ufundi zaidi ya dharau, kebehi na kiburi.

Wengi hamjui lkn Benchika ana shida, kiuongozi hayawezi kusemwa lkn viongozi wa Simba sio wajinga kumtema Benchika, ana maneno ya karaha sana na hata wachezaji wamevunjila ari ndio maana uongozi umeona mwache aende.

Lakini hivi Juma Mgunda ambaye anafundisha timu yetu ya wanawake ana shida gani?

Hiv kweli jaman Mgunda ambaye ametoka AFCON na Stars mnamuacha aendelee kufundisha timu ya wanawake mnaenda kumchukua kocha wa KMC kweli, kwamba ana mbinu kuliko Mgunda?

Haya bana, kila la heri
 
Uwezo unao wewe nenda pale ofisi zao msimbazi izia wakiwa wanatoka tandika bakora za kushtukiza kisha toka mbio kama mshale..
 
Wana vyeti ndugu zetu? Isije ikawa mechi za caf wanakaa majukwaani
Mbona msimu uliopita mgunda ndo alikua kocha mkuu aliisimamia Simba michuano ya CAF akampiga 1° Augusto ya Angola nje ndani na Simba wakafuzu makundi Kwa kishindo?..
Na hata kwenye ligi alikua vizuri kabla hajampisha robantinho?
 
Labda ni wakati huyo jamaa akae pembeni lije benchi jipya kama wafanyavyo Yanga
Matola hawezi kutoka Simba! Maana huyo jamaa ana kazi nyingi pale klabuni. Kumbumbuka ndiye kiongozi mkuu wa ile kamati nyeti ya ufundi.

Miaka nenda sasa, huwa anapunzishwa tu kwa muda, halafu baadaye anarejeshwa kinyemela.
 
Mbona msimu uliopita mgunda ndo alikua kocha mkuu aliisimamia Simba michuano ya CAF akampiga 1° Augusto ya Angola nje ndani na Simba wakafuzu makundi Kwa kishindo?..
Na hata kwenye ligi alikua vizuri kabla hajampisha robantinho?
Alikaa benchi au jukwaani?
 
Mmeachana na Benchika nimefurahi sana, ana cv kubwa lakn uwezo wa kawaida tu, hana mbinu wala ufundi zaidi ya dharau, kebehi na kiburi.

Wengi hamjui lkn Benchika ana shida, kiuongozi hayawezi kusemwa lkn viongozi wa Simba sio wajinga kumtema Benchika, ana maneno ya karaha sana na hata wachezaji wamevunjila ari ndio maana uongozi umeona mwache aende.

Lakini hivi Juma Mgunda ambaye anafundisha timu yetu ya wanawake ana shida gani?

Hiv kweli jaman Mgunda ambaye ametoka AFCON na Stars mnamuacha aendelee kufundisha timu ya wanawake mnaenda kumchukua kocha wa KMC kweli, kwamba ana mbinu kuliko Mgunda?

Haya bana, kila la heri
benchika ni wa kuokota?
 
Mmeachana na Benchika nimefurahi sana, ana cv kubwa lakn uwezo wa kawaida tu, hana mbinu wala ufundi zaidi ya dharau, kebehi na kiburi.

Wengi hamjui lkn Benchika ana shida, kiuongozi hayawezi kusemwa lkn viongozi wa Simba sio wajinga kumtema Benchika, ana maneno ya karaha sana na hata wachezaji wamevunjila ari ndio maana uongozi umeona mwache aende.

Lakini hivi Juma Mgunda ambaye anafundisha timu yetu ya wanawake ana shida gani?

Hiv kweli jaman Mgunda ambaye ametoka AFCON na Stars mnamuacha aendelee kufundisha timu ya wanawake mnaenda kumchukua kocha wa KMC kweli, kwamba ana mbinu kuliko Mgunda?

Haya bana, kila la heri
Kanjibai FC.
 
Back
Top Bottom