Kuna magonjwa yanayohitaji dawa za kiroho na mengine yanahitaji dawa za kawaida. Pale msalabani Yesu aliona kiu. Je ilikua kiu ya kawiada au ya kiroho?. Tunaishi kwenye ulimwengu mbili tofauti. Unatakiwa ujue ni wakati gani wa kuishi kwenye ulimwengu wa mwili na wakati gani ni wa kiroho