Kwa wakazi wa Urambo wanawafahamu hawa manabii, ni nini mnakifahamu zaidi kuwahusu?

Yani imebidi nicheke tu.
Mwishowe mtaanza kuulizia yale matunda yana nyuzinyuzi yanaota kwenye miti kama minazi (nimeyasahau jina) madam wema wa urambo day alikuwa anayapenda sana. Ila akitaka kula anajifungia maana wakati wa kula zile nyuzi zinaingia katikati meno
Mihama
 
Dr am 4 real na sumbai nyie takuwa nawajua na tumewahi kukutana mahali.
Hahaha hapana mkuuu, Mimi nimekaa Urambo Kwa muda mfupi kipindi mzee wangu amehamishiwa huko.

Shule ya msingi ukombozi pale....

Kota pale oposite na iyo shule nimekaa sana.

Urambo miaka hiyo hamna Rami mwendo wa njia ya moramu.

Kutembea ilikuwa Kwa mguuu, yaan MTU unatembea kutoka mjini paka vijijin huko mpigwa mara majengo ya tabora, nasikia siku hiZi ni town balaaa pamechangamka..
 
Urambo mjini. Pentekoste church.
Na kama ni mwenyeji wa urambo mjini, huwezi kuacha kuwafahamu hao watu.
Mi binafsi kuna habari nazifanyia utafiti, ikiwa kuna mtu anawafahamu kwa undani
Inasikitisha sana
 
Nimesoma urambo day sekondari huyo elia kumenya aliwahi kuwa na duka soko la urambo lilipoungua dukani kwake yalitoka mavisoke. Hawa jamaa ni wapiga dili tu huyu elidadi anaduka la mitumba hapo urambo.
Elia kumenya ni mchawi anatoa watoti wake ndagu. Nimekaa majengo ya kaliua nawafahamu vizuri .
Ila huyu frola ndio simfahamu.atakuwa hanamuda mrefu hapo urambo.
Ni kina zumaridi
 
Haaaahaaa bado yapobtalikuwa yanapenda kukaa karibu na kwa chambara .ila urambo imebadirika rami mpaka vichochoroni.
Mm siyo mwenyeji wa urambo Ila niliwai kuish hapo urambo nikifanya Kaz Kama afs was bank hapo nmb jirani kbsa na ofc ya spika wa bunge kwa wakt ule amaa hakika leo mmenikumbusha mbali sna
 
Yani imebidi nicheke tu.
Mwishowe mtaanza kuulizia yale matunda yana nyuzinyuzi yanaota kwenye miti kama minazi (nimeyasahau jina) madam wema wa urambo day alikuwa anayapenda sana. Ila akitaka kula anajifungia maana wakati wa kula zile nyuzi zinaingia katikati meno
Mahama
 
Back
Top Bottom