msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,871
- 7,111
MihamaYani imebidi nicheke tu.
Mwishowe mtaanza kuulizia yale matunda yana nyuzinyuzi yanaota kwenye miti kama minazi (nimeyasahau jina) madam wema wa urambo day alikuwa anayapenda sana. Ila akitaka kula anajifungia maana wakati wa kula zile nyuzi zinaingia katikati meno