Kwa viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Ruvuma na Jimbo la Songea mjini

Noncommited

JF-Expert Member
Jun 22, 2012
1,125
369
Habari Wakuu

Hili linawahusu viongozi wa CHADEMA wilaya na Mkoa kitendo cha kuwazuia watia nia wa Ubunge Jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya CHADEMA wasiongee kwenye Mikutano hakileti tija.

Kuzuiliwa kwao kuongea imekuja mara baada ya kuzindua ziara ya watia nia kwenye Kata mbalimbali kuanzia na kata ya Mjini Ijumaa tarehe 19 June 2015 ambako watia nia hao walijitambulisha kwa majina, CV zao na kuweka hoja zao za kwanini wanatia nia jimbo la Songea Mjini.

Kinachooonekana zuio hilo limekuja mara baada ya Mgombea mmoja ambaye alijitambulisha vizuri sana na kujenga hoja za maana ambazo zilionyesha mwiba mkali kwa watia nia wengine na baadhi ya madiwani wa chama hicho hapa Jimboni na watu waliohudhuria pale walikoshwa sana na huyo mtia nia mpaka leo jamaa amekuwa gumzo na kubadilisha kabisa upepo wa ubunge jimbo la Songea mjini na akipitishwa jamaa huyo tuna uhakika wa CDM kuchagua jimbo hili sina haja ya kumtaja jina maana nitakuwa kama nampigia debe maana saa hizi wako kwenye harakati za kuchagua chama.


Nawaombeni sana viongozi mumsimamishe mtia nia anayekubalika na wananchi wa jimbo la Songea na sivinginevyo maana kuna tetesi kwamba viongozi kuna mtia nia wanataka kumbeba
mwananchi jimbo la Songea mjini.

CCc: Tumaini Makene
 
Last edited by a moderator:
Chama kinachojinadi kuwa ni cha demokrasia lakini ndiyo cha kwanza kwenye kuminya na kukandamiza demokrasia.

Shame on you CHADEMA.
 
chama kinachojinadi kuwa ni cha demokrasia lakini ndiyo cha kwanza kwenye kuminya na kukandamiza demokrasia.

Shame on you CHADEMA
Hiyo si kauli ya chama bali mwenyekiti maana majimbo mengine mbona watia nia wanajinadi inawezekana ni mapungufu ya mwenyekiti thats why tunataka yafanyiwe kazi la muhimu watia nia wasipakane matope. Na mimefurahishwa na watia nia kundesha mikutano pamoja na kula pamoja na kutembea pamoja na si kila mtu na mkutano wake
 
Non committed
kwanza tunashukuru kwa taadhari yako ni nzuri naamini wausika watachukulia kauli uzito unaostaili lakini kilichonifuraisha watia nia wanatembea pamoja na kula pamoja team work ya nguvu. nilibahatika kuwa ktk kampeni za ccm za wagombea ndani ya chama miaka ya nyuma unazungumzia wagombea hawashindani kwa hoja kama hao wa songea mjini bali kushindana kwa kutoa rushwa kila kona wanakopitwa. wana ccm wanakimbiza gari za wagombea wanataka pesa nikaamini kuwa CCM ni chama cha wala Rushwa.
 
Kwa hilo demokrasia ichukue mkondo wake kwani lengo la hao watia nia ni ili wafahamiane na wamtambue yule mwenye uwezo zaidi. Na baada ya hapo nina imani wengine watajitoa kumwachia yule mwenye uwezo zaidi.
 
Watu wa songea wanafiki sana wakati majimbo yote sita yapo chini ya ccm ni aibu sana mm nawasubiri tena muichague ccm mwaka huu maana wanafiki sana watu wa songea hawafanyi harakati za ukawa angalau tupate majimbo matatu kati hayo sita wao kazi yao kulalamika pumbavu hebu pambaneni ili tuitoe ccm madarakani mwaka huu October
 
Watu wa songea wanafiki sana wakati majimbo yote sita yapo chini ya ccm ni aibu sana mm nawasubiri tena muichague ccm mwaka huu maana wanafiki sana watu wa songea hawafanyi harakati za ukawa angalau tupate majimbo matatu kati hayo sita wao kazi yao kulalamika pumbavu hebu pambaneni ili tuitoe ccm madarakani mwaka huu October

Sio unafiki mkuu...
Watu wengi huku hawana elimu na hilo ndo tatzo...
 
Habari Wakuu

Hili linawahusu viongozi wa CHADEMA wilaya na Mkoa kitendo cha kuwazuia watia nia wa Ubunge Jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya CHADEMA wasiongee kwenye Mikutano hakileti tija.

Kuzuiliwa kwao kuongea imekuja mara baada ya kuzindua ziara ya watia nia kwenye Kata mbalimbali kuanzia na kata ya Mjini Ijumaa tarehe 19 June 2015 ambako watia nia hao walijitambulisha kwa majina, CV zao na kuweka hoja zao za kwanini wanatia nia jimbo la Songea Mjini.

Kinachooonekana zuio hilo limekuja mara baada ya Mgombea mmoja ambaye alijitambulisha vizuri sana na kujenga hoja za maana ambazo zilionyesha mwiba mkali kwa watia nia wengine na baadhi ya madiwani wa chama hicho hapa Jimboni na watu waliohudhuria pale walikoshwa sana na huyo mtia nia mpaka leo jamaa amekuwa gumzo na kubadilisha kabisa upepo wa ubunge jimbo la Songea mjini na akipitishwa jamaa huyo tuna uhakika wa CDM kuchagua jimbo hili sina haja ya kumtaja jina maana nitakuwa kama nampigia debe maana saa hizi wako kwenye harakati za kuchagua chama.


Nawaombeni sana viongozi mumsimamishe mtia nia anayekubalika na wananchi wa jimbo la Songea na sivinginevyo maana kuna tetesi kwamba viongozi kuna mtia nia wanataka kumbeba
mwananchi jimbo la Songea mjini.

CCc: Tumaini Makene

Punguza majungu mkuu,
kamanda FUIME anafaaa kuongoza hilo jimbo la Songea Mjini, performance yake ipime wakati akiwa ni diwani
 
Last edited by a moderator:
Punguza majungu mkuu,
kamanda FUIME anafaaa kuongoza hilo jimbo la Songea Mjini, performance yake ipime wakati akiwa ni diwani

Sio majungu Mkuu, nadhani wewe ndio umeleta majungu kwa kuanza kumpigia kampemi tmu wakati lengo la chama ni kujenga chama na watia nia wapite kwa pamoja kwa wananchi ili wawachambue waone nani anafaa kuiwakilisha CDM Songea Mjini sio muda wa viongozi na wanachama kumpigia debe. Kama wewe kweli ni wanaCDM utaliona hilo tumechoka kuongozwa na ccm HAPA maana toka 2000 watu wanataka Mbunge toka upinzani lakini inashindikana. Sina shaka na uwezo wa Diwani Fuime kukijenga chama Mkoa wa Ruvuma na hasa Jimbo la Songea Mjini juhudi zake zimeonekana na hata kutumia rasilimali zake kama gari na vinginevyo. Akikubalika kwa wananchi haina tatizo ila kumbuka CDM IKILIKOSA JIMBO LA Songea mjini safari hii itapata wakati mgumu sana chaguzi zijazo. Ila pima uwezo wa Fuime na watia nia wengine
 
Habari Wakuu

Hili linawahusu viongozi wa CHADEMA wilaya na Mkoa kitendo cha kuwazuia watia nia wa Ubunge Jimbo la Songea Mjini kwa tiketi ya CHADEMA wasiongee kwenye Mikutano hakileti tija.

Kuzuiliwa kwao kuongea imekuja mara baada ya kuzindua ziara ya watia nia kwenye Kata mbalimbali kuanzia na kata ya Mjini Ijumaa tarehe 19 June 2015 ambako watia nia hao walijitambulisha kwa majina, CV zao na kuweka hoja zao za kwanini wanatia nia jimbo la Songea Mjini.

Kinachooonekana zuio hilo limekuja mara baada ya Mgombea mmoja ambaye alijitambulisha vizuri sana na kujenga hoja za maana ambazo zilionyesha mwiba mkali kwa watia nia wengine na baadhi ya madiwani wa chama hicho hapa Jimboni na watu waliohudhuria pale walikoshwa sana na huyo mtia nia mpaka leo jamaa amekuwa gumzo na kubadilisha kabisa upepo wa ubunge jimbo la Songea mjini na akipitishwa jamaa huyo tuna uhakika wa CDM kuchagua jimbo hili sina haja ya kumtaja jina maana nitakuwa kama nampigia debe maana saa hizi wako kwenye harakati za kuchagua chama.


Nawaombeni sana viongozi mumsimamishe mtia nia anayekubalika na wananchi wa jimbo la Songea na sivinginevyo maana kuna tetesi kwamba viongozi kuna mtia nia wanataka kumbeba
mwananchi jimbo la Songea mjini.

CCc: Tumaini Makene
Mikoa yote mfumo ni mmoja tu,watia nia ni wengi na muda wa kampeni bado haujatangazwa na kama aliwakonga watu si asubiri vikao.Hiki ni kiherehere kuanza kampeni mapema ni disqualification.Asubiri muda wa kampeni ukifika uwanja ni wake sasa haraka ya nini.Na mtuma maada acha majungu fuata taratibu,halafu hata mwenyewe hujiamini si ungemtaja sasa?
 
Sio majungu Mkuu, nadhani wewe ndio umeleta majungu kwa kuanza kumpigia kampemi tmu wakati lengo la chama ni kujenga chama na watia nia wapite kwa pamoja kwa wananchi ili wawachambue waone nani anafaa kuiwakilisha CDM Songea Mjini sio muda wa viongozi na wanachama kumpigia debe. Kama wewe kweli ni wanaCDM utaliona hilo tumechoka kuongozwa na ccm HAPA maana toka 2000 watu wanataka Mbunge toka upinzani lakini inashindikana. Sina shaka na uwezo wa Diwani Fuime kukijenga chama Mkoa wa Ruvuma na hasa Jimbo la Songea Mjini juhudi zake zimeonekana na hata kutumia rasilimali zake kama gari na vinginevyo. Akikubalika kwa wananchi haina tatizo ila kumbuka CDM IKILIKOSA JIMBO LA Songea mjini safari hii itapata wakati mgumu sana chaguzi zijazo. Ila pima uwezo wa Fuime na watia nia wengine

I like your objective point of view.
 
Sio majungu Mkuu, nadhani wewe ndio umeleta majungu kwa kuanza kumpigia kampemi tmu wakati lengo la chama ni kujenga chama na watia nia wapite kwa pamoja kwa wananchi ili wawachambue waone nani anafaa kuiwakilisha CDM Songea Mjini sio muda wa viongozi na wanachama kumpigia debe. Kama wewe kweli ni wanaCDM utaliona hilo tumechoka kuongozwa na ccm HAPA maana toka 2000 watu wanataka Mbunge toka upinzani lakini inashindikana. Sina shaka na uwezo wa Diwani Fuime kukijenga chama Mkoa wa Ruvuma na hasa Jimbo la Songea Mjini juhudi zake zimeonekana na hata kutumia rasilimali zake kama gari na vinginevyo. Akikubalika kwa wananchi haina tatizo ila kumbuka CDM IKILIKOSA JIMBO LA Songea mjini safari hii itapata wakati mgumu sana chaguzi zijazo. Ila pima uwezo wa Fuime na watia nia wengine

Wewe dogo Fuime unamjua sasa huo mtaa ss ndo tuliompa wakati ccm wanalumbana wao kwa wao baada ya kumwegua huyo dada aliyekuwa anashikilia huo mtaa.tunajua uwezo wake,elimu yake nk ndo maana umeelezwa taratibu kwa wakati huu umebadilika siyo kama zamani na watia nia ni wengi tatizo lake huenda unatoka iringa ndo maana ni mgumu kuelewa fuatilia mikoa yote ndo mfumo wanaotumia CDM
 
Mikoa yote mfumo ni mmoja tu,watia nia ni wengi na muda wa kampeni bado haujatangazwa na kama aliwakonga watu si asubiri vikao.Hiki ni kiherehere kuanza kampeni mapema ni disqualification.Asubiri muda wa kampeni ukifika uwanja ni wake sasa haraka ya nini.Na mtuma maada acha majungu fuata taratibu,halafu hata mwenyewe hujiamini si ungemtaja sasa?

Achana na mihemko na kukurupuka elewa vizuri main themes za hiyo topic ninini, laiti ungekuwepo siku ya mkutano wa watia nia pale soko la samaki la zamani ungeelewa vizuri kwani kila mtia nia alijitambulisha na kujenga hoja kwa dakika alizopewa. Kusema ni majungu utakuwa unakosea sababu lengo la chama kuwapeleka watia nia kwa wananchi ni kupata maoni nya wananchi na mwelekeo nani anakubalika kwa wananchi kwa hiyo kuminya uwanja wa watu hao kujenga hoja wananchi watawajaji kwa kigezo gani cha sura au kutaja tu wasifu. Laiti ningekuwa na majungu ningemtaja mgombea au kiongozi husika tusipende kuficha madhaifu kwa mgongo wa neno majungu. Mimi sio mwanachama nitafikishaje ujumbe kama sio kwa njia hii. Kumbuka songea tumesubiri sana mabadiliko toka 2000 mwaka huu si wa kuruhusu tena magamba yabuluze jimbo hili tena
 
Wewe dogo Fuime unamjua sasa huo mtaa ss ndo tuliompa wakati ccm wanalumbana wao kwa wao baada ya kumwegua huyo dada aliyekuwa anashikilia huo mtaa.tunajua uwezo wake,elimu yake nk ndo maana umeelezwa taratibu kwa wakati huu umebadilika siyo kama zamani na watia nia ni wengi tatizo lake huenda unatoka iringa ndo maana ni mgumu kuelewa fuatilia mikoa yote ndo mfumo wanaotumia CDM

Kama IQ yako si ndogo basi wewe si mwanachadema, na kama mwanaCDM basi bado sana jitahidi kuwa na heshima na jenga hoja vizuri.Unaniita dogo unafahamu umri wangu? Unasema nitakuwa natoka Iringa hapo hapo unasema utaratibu ni wa mikoa yote. Anyway mimi ni mwananchi ninayetaka mabadiliko kupitia CDM siwezi kuandika mapungufu ya mtu yeyote hapa cha muhimu viongozi kusimamia kupata mtu atakayekubalika kwa wanachi mwiso wa siku CDM ichukue jimbo la Songea mjini na si vinginevyo tofauti na wewe unayeanza kutengeneza makundi ya team fulani kama MACCM na wasiwasi wewe ni gamba. Kwa kukuhakikishia kuwa mimi ni Mwanalizombe ninaishi hapa hapa songea na ni mfuatiliaji mzuri wa watia nia hao wakiwa Soko la samaki la zamani , ruvuma na majengo
 
Back
Top Bottom