Jana nasikiliza redio mtangazaji anasema "sasa hivi ni saa mbili na nusu kwa saa za Afrika Mashariki"
Mimi naona hapa kuna kasoro. Mtangazaji hajatofautisha kati ya Wakati Na Saa. Saa ni kipimo cha wakati, hivyo saa yangu na saa ya Mwanakijiji zote ziko sawa isipokuwa wakati wa alipo yeye na mimi si sawa. Hivyo hapa mtangazaji anatakiwa aseme "Saa mbili na nusu kwa nyakati za Afrika mashariki"
Mimi naona hapa kuna kasoro. Mtangazaji hajatofautisha kati ya Wakati Na Saa. Saa ni kipimo cha wakati, hivyo saa yangu na saa ya Mwanakijiji zote ziko sawa isipokuwa wakati wa alipo yeye na mimi si sawa. Hivyo hapa mtangazaji anatakiwa aseme "Saa mbili na nusu kwa nyakati za Afrika mashariki"