Msuli wa mbu
Senior Member
- May 4, 2021
- 100
- 318
Binafsi sijapendezwa na baadhi ya wanajamii forum kubeza mtandao wa TikTok. Mwanzo nilikuwa sio mfuatiliaji wa mtandao huo(TikTok) kwakuwa niliona watu wengi hapa wakisema kuwa hauna maudhi mazuri na kuudharau kutokana na wao wanavyo uchukulia.
Cha ajabu na kushangaza nina mwezi sasa naufuatilia nimekutana na mambo mazuri na yana manufaa sana katika jamii na taifa hili Kama mtu atautumia in positive way nasisitiza "in positive way".
Lakini nikija hapa nakutana na watu sijui wana elimu ya juu sana au tuu ni watu class fulani sijaelewa wanaubeza, ndio nakubali kuwa Kuna baadhi ya maudhui zisizofaa lakini kwanini tusichukue zinazotufaa.
Hapa Duniani Kuna vitu vingi lakini huwezi kutaja kitu chenye chanya bila kuwa na hasi ila Kama binadamu tujitahidi kuwa positive....., Na maisha haya yatakuwa mazuri sana na sio kubeza kila kitu ama wazo.
Asanteni muwe na weekend njema.
Cha ajabu na kushangaza nina mwezi sasa naufuatilia nimekutana na mambo mazuri na yana manufaa sana katika jamii na taifa hili Kama mtu atautumia in positive way nasisitiza "in positive way".
Lakini nikija hapa nakutana na watu sijui wana elimu ya juu sana au tuu ni watu class fulani sijaelewa wanaubeza, ndio nakubali kuwa Kuna baadhi ya maudhui zisizofaa lakini kwanini tusichukue zinazotufaa.
Hapa Duniani Kuna vitu vingi lakini huwezi kutaja kitu chenye chanya bila kuwa na hasi ila Kama binadamu tujitahidi kuwa positive....., Na maisha haya yatakuwa mazuri sana na sio kubeza kila kitu ama wazo.
Asanteni muwe na weekend njema.