mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,703
- Thread starter
- #41
hakuna mazuri nje ya haya...1.Ubaguzi
Ubaguzi ni dalili ya woga na kutojiamini hii kitu ipo sana kwa hawa jamaa
2.Ugaidi
Hawa jamaa ukisoma global events utaona wao ndio waanzilishi wakubwa wa terrorism
Na hawakuanza leo tangu enzi za mitume wameuwa mitume wengi akiwemo Muhammad AS bila kusahau walivyomsulubu Yesu AS
3.Kutawaliwa
Hawa jamaa pamoja na umaarufu wao lakini hawajawahi kuwa World Super Power
Siku zote wamekuwa watu wa kuburuzwa na kutawaliwa na mataifa kama
Roman Empire
Greek Empire
Ottoman Empire
Iran Empire
4. Ufisadi
Jamii yao inaongoza kwa ufisadi
Mtu kama Ariel Sharon na damu yote aliyomwaga eti anapewa Nobel Prize
Ni wawekezaji wazuri ktk biashara za Riba, Ulevi, Kamari, Umalaya, Sigara, na Silaha