GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,121
- 110,319
La Kwangu GENTAMYCINE nitaliweka mwishoni kabisa mwa Kurasa ya mwisho zitakazotokana na huu Uzi wangu hapa Ok?
Nimecheka hadi basi. Wewe jamaa una Akili sana na najua kwanini utamuuliza hili Swali kwani kuna zinazosema......ngoja ninyamaze Kwanza ili niendelee nami pia Kutunga Swali langu la Kumuuliza japo najua kuna uwezekano nikimuuliza Siku hiyo hiyo natafutiwa Taifa langu Bandia la kwenda Kuishi.Hivi ni kwanini CDA (Wakala wa majengo) Wanavunja sana maghorofa pale Kariakoo?
Ulimsikia Lissu anasema Rais ndiye mwenye Mamlaka ya nani aishi na nani afe? Hili swali usiulize Mkuu 😂🤣🤣Unaonaje ukaachia hiyo nafasi aingie mwingine?
Ukimaliza kuuliza hili Swali ukitoka Salama hapo uliko nakuahidi 'Kuukweka' Live kutoka Kampala hadi Dar es Salaam Mkuu.Unaonaje ukaachia hiyo nafasi aingie mwingine?
Taifa lako au tunakusindikiza pale Kinondoni tukakulaze kwenye nyumba yako ya milele? 😂😂😂😂Nimecheka hadi basi. Wewe jamaa una Akili sana na najua kwanini utamuuliza hili Swali kwani kuna zinazosema......ngoja ninyamaze Kwanza ili niendelee nami pia Kutunga Swali langu la Kumuuliza japo najua kuna uwezekano nikimuuliza Siku hiyo hiyo natafutiwa Taifa langu Bandia la kwenda Kuishi.
Hajitaki huyo Mkuu ameshayachoka Maisha yake mwache aulize ili awafuate waliokwisha tutangulia Kinondoni na Kisutu.Ulimsikia Lissu anasema Rais ndiye mwenye Mamlaka ya nani aishi na nani afe? Hili swali usiulize Mkuu 😂🤣🤣
Huu Uzi nina uhakika utanifanya Nicheke sana leo hakyanani.Taifa lako au tunakusindikiza pale Kinondoni tukakulaze kwenye nyumba yako ya milele? 😂😂😂😂
Na Mwamba maisha kayachoka kweli aisee 😂😂😂😂Hajitaki huyo Mkuu ameshayachoka Maisha yake mwache aulize ili awafuate waliokwisha tutangulia Kinondoni na Kisutu.
Hili swali anaweza kuliuliza Lissu tu live wengine wataulizia humu humu aisee 🤣🤣🤣Yeye Mzanzibari kwa nini ana hangaika na Tanganyika kwa nini asihangaike na Zanzibar kwao ?
Nikipata nafasi ya kuonana nae ana kwa ana nitamuuliza kwa kuwa Tanganyika inanihusu pakubwa sana.Hili swali anaweza kuliuliza Lissu tu live wengine wataulizia humu humu aisee 🤣🤣🤣
CDA? Nadhani ulimaanisha TBA. Hata hivyo sidhani kuwa kazi ya kuvunja majengo yasiyokidhi viwango vya Sasa vya hadhi ya Kariakoo ni kazi ya TBA. Kwani TBA ni wakala wa majengo ya serikali.Hivi ni kwanini CDA (Wakala wa majengo) Wanavunja sana maghorofa pale Kariakoo?
Aisee wanavyofanya Mkuu mpaka huruma 😂😂😂CDA? Nadhani ulimaanisha TBA. Hata hivyo sidhani kuwa kazi ya kuvunja majengo yasiyokidhi viwango vya Sasa vya hadhi ya Kariakoo ni kazi ya TBA. Kwani TBA ni wakala wa majengo ya serikali.