Kwa mazuri haya, utawezaje kuing'oa CCM madarakani?

Yani mie nikiiona hii mwili unakufa ganzi cha ajabu watu bado wanakomalia tu ccm

mkuu Kuna vijana wamemaliza Chuo juzi na wenyewe wanapost eti hapa kazi wakati kazi hawana na walikuwa wanasoma kwa migomo kwa kukosa boom lakin Leo watu wanaambiwa kusoma ni bure kuanzia chekechea mpaka level ya Chuo ni bure bado hayaelewi. Ila ninaiman watanzania wengi washafanya mamuzi kwa kumpa kura lowasa
 
Hakuna wa kuing'oa CCM mwaka huu. Perhaps baadae, kwani wapinzani ni walewale. Hawana jipya.
 
Ukuaji wa pato la taifa kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita,umekua kwa wastani wa asilmia 7 kwa mwaka
ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kutoka wastani wa shillingi billion 390 kwa mwezi mwaka 2010 na kufikia wastani wa shilingi 850 billion kwa mwezi mwaka 2014/2015
misaada na mikopo ya washirika wa maendeleo kwenye bajeti ya serikali imepungua kutoka asiimia 42 mwak 2005 hadi kufikia mwaka 2015/2016,,utawezaje kuishinda ccm kwa mambo hayo upinzani mtasubiri sana mwaka huu

Puuuuuuuuuuuumbaaaaaaavu sana. Hali ya maisha ya mwananchi wa kawaida ni mbaya kupita maelezo. Maliasili ya nchi yetu inafaidisha watu wachache... elimu yetu inazidi kuzorota na ufisadi unazidi...alafu unakuja hapa unaongeongea tu ka tahira. Acha upimbi hata kama umelipwa lakini cyo kiiivyo
 
Hospital wakina mama wanajifungua chini na wanalala chini.hivi wewe ni mzima kweli.


swissme

Sioni aibu kusema lazima wajifungulie chini! kwa sababu sisi wote tuna makosa,habari ya nyota ya kijani hatuizingatii,mtu masikini alafu watoto wengi(mf.watoto tisa,shamba heka moja) mtu hajui mkewe atajifungua lini!,hospitali gani atampeleka!,kaka/dada wa analiyezaliwa mahitaji muhimu hawatoshelezei bado anadiriki kuleta kiumbe mwingine wa mwenyezi mungu kuja kumtesa na njaa,maisha bila elimu n.k HAKIKA serikali (yoyote ulimwenguni) haiwezi kumudu matatizo ya maskini wapumbavu ambao ata elimu ya msingi hawakuielewa(kwa mfano huu unaweza tambua jamii zetu).
 
Sioni aibu kusema lazima wajifungulie chini! kwa sababu sisi wote tuna makosa,habari ya nyota ya kijani hatuizingatii,mtu masikini alafu watoto wengi(mf.watoto tisa,shamba heka moja) mtu hajui mkewe atajifungua lini!,hospitali gani atampeleka!,kaka/dada wa analiyezaliwa mahitaji muhimu hawatoshelezei bado anadiriki kuleta kiumbe mwingine wa mwenyezi mungu kuja kumtesa na njaa,maisha bila elimu n.k HAKIKA serikali (yoyote ulimwenguni) haiwezi kumudu matatizo ya maskini wapumbavu ambao ata elimu ya msingi hawakuielewa(kwa mfano huu unaweza tambua jamii zetu).

ww lazima utakuwa ndio wale wa IT center Masaki wale vijana wa makamba,mwigulu,nepi,n riz. Utakuwa wa tumbo mbele mema nyuma
 
Back
Top Bottom