Kwa kauli ya Rais Samia kwa Hussein Mwinyi, Je kuna fukuto ktk Familia ya Hayati Mzee Mwinyi?

Mkuu unajua uchungu wa kumpoyrza baba! Hata uwe Mzee kama ukimpenda utalia tu... Kumbuka hutamuona tena!
Mwanaume kulia hapana mbele ya public msiba wa baba yako

makabila mengine wangentatandika vibao hadi basi wangemtoa chap pale

kijana wa kiume ukilia kama bwege ndugu wanawaka wewe usitutanie kuwa wewe ndio unatakiwa kutuelekeza taratibu za kuzika baba yako azikiwe wapi nini kinatakiwa unalia lia kama mbwa hapa nyoko zako wazee wanakupiga makofi na viboko wazee wa kimila wanakwambia njoo tuongee huku gizani pole sana ukienda huko kipigo utakachopata huko utajuta kuxaliwa na kufahamu ndugu zako awe mombasa nk

Ashukuru yale mazishi serikali ilishika ingekuwa mtaani makabila ya mikoani mbona wangemwita Pembeni na kumpa kipigo cha mbwa koko na wangeteua msemaji mwingine wa kutoa shukrani ya msiba kwa niaba ya familia wakati huko wamempeleka gizani wamempiga hadi kujinyea kwa kwa kudhalilisha familia kama msemaji
Makabila yote ya mikoani Tanzania bara ukipewa kuwa msemaji kuongea kwa niaba ya familia huwezi kutungua kilio kama huyo mtoto wa mwinyi angenyakuliwa kama mpira wa kona na ndugu jukwaa kuu kuwa kazimia kwa uchungu alimpenda sana marehemu baba yake Mwinyi mwingine ana take over haraka atoe shukrani za familia lakini huko wamekimbia naye kipigo atakachopata huko gizani lazims ataishia ICU muhimbili kuwa nyoko wewe kisa cha kutudhalilisha mbele ya kadamnasi nini kama ulikuwa huwezi kutoa shukrani si ungetuambia tutafute ndugu mwingine kwani ulizaliwq peke yako mshenzi wewe

Akichofanya kulia lia pale jukwaani hajautendea haki uanaume wake angepisha wengine kama hawezi
 
Hivi tofauti na rais Mwinyi, mama zake na hayati, hii familia hua ina ndugu wengine? Sijawahi kuwasikia popote.
Sahihi sio Mwinyi tu bali hata hayati Magufuli Nyerere na Mkapa ndugu zao pia binafsi sijawahi wasikia au kuona ndugu wawe wazazi ,wajomba,dada,Kaka nk wanaitwa mbele kama wawakilishi wa ndugu msibani walau watoe neno

Mwinyi hakuwa na nduguze dada zake ,Mama wadogo ,wajomba wadogo,mabinamu wadogo,bibi wadogo nk hadi shukrani za familia zitolewe na yule mwanawe alikuwa analia lia kama mwehu

Kwani Mwinyi alizaliwa yatima? Hana ndugu zake upande wa baba yake na Mama yake hata kama wana umri mdogo?

Hii kitu hata msiba wa Lowassa sikupenda mtoto anatoa shukrani utafikiri Lowassa alikuwa yatima na nduguze wote walikufa kote upande wa mama na baba
 
Kwa Sitti kuna sita
1. Wa kwanza Mwanamke (Sijui jina)
2. Wa pili Abbas
3. Wa tatu Dr Hussein
4. Mohamed
5. Abdullah
6. Amour

Kwa Khadija kuna watoto sita
1. Asha
2. Fatma
3. Njuma
4. Salama
5. Halima
6. Asma
 
Kufiwa kunauma sana lakini Abdullah sio wa kulia hadharani kivile akizingatia kuwa Baba yake hajafa na umri mdogo na kwa hakika Allah kamjaalia umri mzuri.Aidha kulia kule labda ni kuhemewa na umati ule ambao anaona umewapa heshima ya pekee au kama mleta mada anavyosema kwamba labda kuna jambo jengine linafukuta ndani kwa ndani. baina yao.Abdullah ni Mbunge tena mzoefu ambaye ameshazoea kusimama na kuongea kwenye hadhira sasa kulia huku na kwa kuzingatia umri wa Baba yake alioondoka nao sijui ni kufiwa tu au kuna jengine.
 
Wabongo wengi wewe wape picha tu, watakuandikia kitabu kizima cha maneno ya kuungaunga.

Yani rais hata akisema maneno ya jumla tu ya "positive reinforcement" kama nasaha si kwa familia hii tu, bali kwa kutoa mfano wa maneno ya hekima kwa wafiwa wote, watu watayachukua na kutoa tafsiri zao zozote wanazotaka.
hahaha
 
Sheria ya mafao ya wastaafu viongozi wakuu inaongelea mke wa marehemu mstaafu haisemi wake au waume wa marehemu kama wako wengi inatambua mmoja tu

Sasa kivumbi nani atapewa hayo mafao

Tunaona kwa baadhi ya familia mfano Familia ya Maria Nyerere analipwa lakini watoto wake hata wakubwa na wake zao na waume zao na wajukuu na vitukuu wanalundikana kwa Mama wa watu kula fao lake

Sasa je kama atapewa Mama Siti hao wengine wanakuwa wageni wa nani kwa sheria ya mafao iliyopo.Mziki unaanzia hapo.

Kuna yule mtoto wa Marehemu Mwinyi yule mbunge leo akitoa shukrani kwa niaba ya familia pale uwanja wa Amani Zanzibar alikuwa akitungua kilio kila dakika watu wakasema yule halii tu sababu ya kufiwa na baba yake analia kwa hasira kuna kitu cha hasira kinachomliza kikubwa ndani ya moyo wake sio tu uchungu wa kufiwa .Mtu mzima kama yule hawezi kuwa na uchungu kama ule kilio cha hasira kile sio cha msiba kile kwa Mwanaume

Issue ya Mali za marehemu Mwinyi ni eneo lingine nyeti kwenye familia hizo za wake wawili na watoto wao

Mama Samia kaongea kama Mama mshauri mtu mzima mwenye hekima nyingi lakini kwa kilio alichotungua yule mbunge mtoto wa Mwinyi kuna fukuto hata shukrani zilikuwa zinamkwama kooni kutoa hadi anatoka nje ya reli badala ya kuongelea tu shukrani

Lakini hayo yao serikali haina uwezo wa kuyaingilia watajuana wenyewe wakiyaanza
Ila yule mtoto wa Mwinyi ukimsoma between the lines ile hotuba katoa uwanja wa Amani pale Zanzibar kuna moto uko chini ya Majivu unafukuta
Ondoa negative thinking zako. Huwez jua alikuwaje na baba yake. Sijui kama ushawah kupoteza mzazi wewe. Kila mth ana namna yake anavyochukulia kufiwa na mzazi.
 
Sheria ya mafao ya wastaafu viongozi wakuu inaongelea mke wa marehemu mstaafu haisemi wake au waume wa marehemu kama wako wengi inatambua mmoja tu

Sasa kivumbi nani atapewa hayo mafao

Tunaona kwa baadhi ya familia mfano Familia ya Maria Nyerere analipwa lakini watoto wake hata wakubwa na wake zao na waume zao na wajukuu na vitukuu wanalundikana kwa Mama wa watu kula fao lake

Sasa je kama atapewa Mama Siti hao wengine wanakuwa wageni wa nani kwa sheria ya mafao iliyopo.Mziki unaanzia hapo.

Kuna yule mtoto wa Marehemu Mwinyi yule mbunge leo akitoa shukrani kwa niaba ya familia pale uwanja wa Amani Zanzibar alikuwa akitungua kilio kila dakika watu wakasema yule halii tu sababu ya kufiwa na baba yake analia kwa hasira kuna kitu cha hasira kinachomliza kikubwa ndani ya moyo wake sio tu uchungu wa kufiwa .Mtu mzima kama yule hawezi kuwa na uchungu kama ule kilio cha hasira kile sio cha msiba kile kwa Mwanaume

Issue ya Mali za marehemu Mwinyi ni eneo lingine nyeti kwenye familia hizo za wake wawili na watoto wao

Mama Samia kaongea kama Mama mshauri mtu mzima mwenye hekima nyingi lakini kwa kilio alichotungua yule mbunge mtoto wa Mwinyi kuna fukuto hata shukrani zilikuwa zinamkwama kooni kutoa hadi anatoka nje ya reli badala ya kuongelea tu shukrani

Lakini hayo yao serikali haina uwezo wa kuyaingilia watajuana wenyewe wakiyaanza
Ila yule mtoto wa Mwinyi ukimsoma between the lines ile hotuba katoa uwanja wa Amani pale Zanzibar kuna moto uko chini ya Majivu unafukuta
Lete hapa Hiyo clip unayosema tuone ambao hatukuwepo Kwenye tv kutokana na majukumu ya kujenga uchumi .🤔
 
Wabongo wengi wewe wape picha tu, watakuandikia kitabu kizima cha maneno ya kuungaunga.

Yani rais hata akisema maneno ya jumla tu ya "positive reinforcement" kama nasaha si kwa familia hii tu, bali kwa kutoa mfano wa maneno ya hekima kwa wafiwa wote, watu watayachukua na kutoa tafsiri zao zozote wanazotaka.
Hii ni fact au opinion!?
 
Sheria ya mafao ya wastaafu viongozi wakuu inaongelea mke wa marehemu mstaafu haisemi wake au waume wa marehemu kama wako wengi inatambua mmoja tu

Sasa kivumbi nani atapewa hayo mafao

Tunaona kwa baadhi ya familia mfano Familia ya Maria Nyerere analipwa lakini watoto wake hata wakubwa na wake zao na waume zao na wajukuu na vitukuu wanalundikana kwa Mama wa watu kula fao lake

Sasa je kama atapewa Mama Siti hao wengine wanakuwa wageni wa nani kwa sheria ya mafao iliyopo.Mziki unaanzia hapo.

Kuna yule mtoto wa Marehemu Mwinyi yule mbunge leo akitoa shukrani kwa niaba ya familia pale uwanja wa Amani Zanzibar alikuwa akitungua kilio kila dakika watu wakasema yule halii tu sababu ya kufiwa na baba yake analia kwa hasira kuna kitu cha hasira kinachomliza kikubwa ndani ya moyo wake sio tu uchungu wa kufiwa .Mtu mzima kama yule hawezi kuwa na uchungu kama ule kilio cha hasira kile sio cha msiba kile kwa Mwanaume

Issue ya Mali za marehemu Mwinyi ni eneo lingine nyeti kwenye familia hizo za wake wawili na watoto wao

Mama Samia kaongea kama Mama mshauri mtu mzima mwenye hekima nyingi lakini kwa kilio alichotungua yule mbunge mtoto wa Mwinyi kuna fukuto hata shukrani zilikuwa zinamkwama kooni kutoa hadi anatoka nje ya reli badala ya kuongelea tu shukrani

Lakini hayo yao serikali haina uwezo wa kuyaingilia watajuana wenyewe wakiyaanza
Ila yule mtoto wa Mwinyi ukimsoma between the lines ile hotuba katoa uwanja wa Amani pale Zanzibar kuna moto uko chini ya Majivu unafukuta
Yaani watu wanavyojadili mirathi ya familia ya hayati utafikiri yanawahusu. Mnahisi hakuweka mambo sawa wakati akiwa hai?

Tujifunze kujadili mambo ya msingi na siyo umbeya.
 
Yaani watu wanavyojadili mirathi ya familia ya hayati utafikiri yanawahusu. Mnahisi hakuweka mambo sawa wakati akiwa hai?

Tujifunze kujadili mambo ya msingi na siyo umbeya.

Misiba ya Lowassa na Mwinyi imetuonesha kuwa kuna Watanzania wengi ambao ni watu wa ovyo sana wanapenda maneno ya kuungaunga na uzushi kwenye misiba ya watu.
 
Hilo nililishuhudia pia , wengi hawaijui mke wake wapili k/hadija.. walikuwa wanauliza uyo mwingine ni nani.? Ahah hatari sana
Hata Mzee alipokuwa madarakani, 'First Lady' aliyetambulika na 'system' alikuwa Mama Siti, lakini kihuduma wote walipata haki sawa.
 
Mbona suala lipo wazi! Ukiwa na wake wawili lazima kuna tofauti kutokana na Wanawake

Ukitazama uzao wa Bi Hadija kuna Watoto wa kike wengi, kwa Sitti wapo wakiume
Rais SSH ni ''Feminist' anachojaribu ni kutetea wale wa Hadija akijua mke anayejulikana ni Bi Sitti.

Kwa upande wetu kama Taifa, sheria ya Wenza inatuumiza sana
Wake wawili wa Mzee Mwinyi ni mzigo wetu kwa kuwahudumia kupitia kodi zetu!

Sheria ya Mafao ya Wenza ni mbaya na mbovu sana, inatutia hasara kwa watu walio oana kwa mapenzi yao

Sheria ya Wenza ifutwe kwasababu haina haki. Rais Mwinyi ana mtoto ambaye ni Rais , mtoto Mbunge n.k.
Hawa wana uwezo wa kuhudumia Familia zao kama Watanzania wengine, kwanini wake za Mzee Mwinyi wahudumiwe na kodi za Wananchi.
 
Sheria ya mafao ya wastaafu viongozi wakuu inaongelea mke wa marehemu mstaafu haisemi wake au waume wa marehemu kama wako wengi inatambua mmoja tu

Sasa kivumbi nani atapewa hayo mafao

Tunaona kwa baadhi ya familia mfano Familia ya Maria Nyerere analipwa lakini watoto wake hata wakubwa na wake zao na waume zao na wajukuu na vitukuu wanalundikana kwa Mama wa watu kula fao lake

Sasa je kama atapewa Mama Siti hao wengine wanakuwa wageni wa nani kwa sheria ya mafao iliyopo.Mziki unaanzia hapo.

Kuna yule mtoto wa Marehemu Mwinyi yule mbunge leo akitoa shukrani kwa niaba ya familia pale uwanja wa Amani Zanzibar alikuwa akitungua kilio kila dakika watu wakasema yule halii tu sababu ya kufiwa na baba yake analia kwa hasira kuna kitu cha hasira kinachomliza kikubwa ndani ya moyo wake sio tu uchungu wa kufiwa .Mtu mzima kama yule hawezi kuwa na uchungu kama ule kilio cha hasira kile sio cha msiba kile kwa Mwanaume

Issue ya Mali za marehemu Mwinyi ni eneo lingine nyeti kwenye familia hizo za wake wawili na watoto wao

Mama Samia kaongea kama Mama mshauri mtu mzima mwenye hekima nyingi lakini kwa kilio alichotungua yule mbunge mtoto wa Mwinyi kuna fukuto hata shukrani zilikuwa zinamkwama kooni kutoa hadi anatoka nje ya reli badala ya kuongelea tu shukrani

Lakini hayo yao serikali haina uwezo wa kuyaingilia watajuana wenyewe wakiyaanza
Ila yule mtoto wa Mwinyi ukimsoma between the lines ile hotuba katoa uwanja wa Amani pale Zanzibar kuna moto uko chini ya Majivu unafukuta



"analia kwa hasira kuna kitu cha hasira kinachomliza kikubwa ndani ya moyo wake sio tu uchungu wa kufiwa .Mtu mzima kama yule hawezi kuwa na uchungu kama ule kilio cha hasira kile sio cha msiba kile kwa Mwanaume"

Wa Tanzania mu wa mbea jamani
 
Back
Top Bottom