Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,424
- 5,567
Waamuzi kama Amina na Tatu Malogo ambao wanaonesha dhahiri ushabiki wao na kununuliwa kwao na Simba basi Tz na Africa hatuwezi kufika kokote kwenye Dunia ya michezo.
Jambo hili lilionekana pia kule South Africa baada ya Vyura kukataliwa bao lao la wazi kabisa.
Mechi ya Leo ni wazi kuwa Tabora United wamenyimwa bao na Simba wamepata goli batiri la Counter attack iliyoanza kwa makosa. Ilitakiwa mpira uanza kati kwa kuwa Tabora walishafunga goli halali..
Jambo hili lilionekana pia kule South Africa baada ya Vyura kukataliwa bao lao la wazi kabisa.
Mechi ya Leo ni wazi kuwa Tabora United wamenyimwa bao na Simba wamepata goli batiri la Counter attack iliyoanza kwa makosa. Ilitakiwa mpira uanza kati kwa kuwa Tabora walishafunga goli halali..