Kwa aliyewahi kusali kwa Mchungaji Irene Uwoya "Friends of God" Ministry ushauri Tafadhali

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
10,042
16,925
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.

Screenshot_20240518_170311_X.jpg
 
Habari watu wa Mungu. Nimetokea kuvutiwa na mchungaji Irene kwakua anayaongea matukio halisi ya kibinadamu na uhusiano wa binadamu na Mungu.

Wachungaji na manabii wengi wamekua ni waongo na habari za uongo nyingi na sisi kama wafuasi tumekua tukitanga tanga kuhama makanisa kutafuta manabii ambao wengi ni waongo. Naomba kwa ambaye ameshawahi kusali Friends of God ministry kwa mchungaji Irene Uwoya aje kutupa ushuhuda hapa ili tuweze kuwaokoa watu wa Mungu. Mungu awabariki sana.
View attachment 2993264
hawa watu wanafanya maigizo sana na mambo ya Mungu.
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani inaonekana Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani naona Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Kama huyu Mungu siku hizi anawaita malaya wawe wachungaji basi niko sahihi kukaa kando na haya mambo
 
Nataka nifanye ziara ya kutembelea makanisa ya wasanii wote, nitaanza kwa masanja, madame christina, madame flora, mc pilipili, irene uwoya nione laivu wanasifu na kuabudu vipi, wanafundishaje neno la Mungu na waumini wao wamevaaje? Tunaweza kuwahukumu mapema ni wabovu kumbe ni vyombo safi vya Mungu. Mungu ameinua mawe yamsifu kama wateule wake hawafanyi hivyo
 
Wakati nawaletea habari ya kuokoka kwake hapa si mlinipinga?
Habari zangu ni kiasi cha muda tu, leo kila mmoja anamuita mchungaji Uwoya! Lols

Haya nendeni mkapate upako, msiangalie mavazi bali matendo yake.

 
Kufungua kanisa Uwoya sio kitu kibaya labda ni kweli Mungu amemuita
Lakini inabidi akubali kubadili matendo kuanzia maneno mpaka mavazi

Mchungaji ana vikuku mguuni waumini wataelewa neno wakati akili yote itakua inamuwaza

Amevaa koti hilo bra ya ndani naona Seriously? Mimi kama kondoo nitakua nawaza nanyonya kifua cha mchungaji

Abadilike..!
Atazingatia ushauri japo binafsi sijaona ubaya kwenye mavazi yake tangu alipotangaza utume. Urembo ni sehemu ya mwanamke.
 
Kila binadamu ana karama yake. Mungu ameamua muda wa Irene kuwaokoa wanadamu ni sasa wewe ni nani hata upinge hilo?
lakini hiyo inaonyesha namna watu watakavyopata hukumu siku ya mwisho,manake hadi kina huyo dada wametangaza injili,ambaye hajaisikia basi atakuwa na shingo ngumu. wawe wasafi wasiwe wasafi ila wametangaza walau. hakuna atakayekuwa na la kujitetea kwamba hakusikia wito wa wokovu.
 
Back
Top Bottom