Tumezoea mataifa makubwa kama MAREKANI inapokaribia uchaguzi wakati wa Uchaguzi kuingilia kati na kutoa statement mbali mbali na kwa kiasi inasaidia watawala kupunguza kasi dhidi ya upinzani.
lakini kutokana na ukandamizaji wanafunzi huko amerika na Polisi kutumia nguvu nyingi kinyume ca demokrasia amerika imejikuta ikicafuka katika mataifa mengi ambayo huko nyuma yakipata maagizo mbali mbali ya kuimarisha demokrasia.
lakini kutokana na ukandamizaji wanafunzi huko amerika na Polisi kutumia nguvu nyingi kinyume ca demokrasia amerika imejikuta ikicafuka katika mataifa mengi ambayo huko nyuma yakipata maagizo mbali mbali ya kuimarisha demokrasia.