Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

  • Zitto Z. Kabwe

    Votes: 180 15.3%
  • Wilbrod P. Slaa

    Votes: 996 84.7%

  • Total voters
    1,176
  • Poll closed .
Status
Not open for further replies.
Ninaamini Ndugu Zitto anafaa katika nafasi ya uwaziri kwa sasa na si kwa nafasi anayoitamani ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania. Hii si kwa sababu ya umri bali namtazama kama binadamu anayehitaji kuunganisha mambo kadhaa ili aweze kuisimamia nchi. Nitampa kura yangu mtu ninayefikiri kuwa baada ya kuingia Ikulu kesho yake nitaamka nikiwa na kichwa changu. Fikiri huyu tuliyempa kwa 'tsunami', leo hakuna mwenye uhakika kuwa akidhulumiwa uhai wake atasimama atoe kauli! Labda uwe swahiba wake. Sirudii jinai hiyo.
 
Ninaamini Ndugu Zitto anafaa katika nafasi ya uwaziri kwa sasa na si kwa nafasi anayoitamani ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania. Hii si kwa sababu ya umri bali namtazama kama binadamu anayehitaji kuunganisha mambo kadhaa ili aweze kuisimamia nchi. Nitampa kura yangu mtu ninayefikiri kuwa baada ya kuingia Ikulu kesho yake nitaamka nikiwa na kichwa changu. Fikiri huyu tuliyempa kwa 'tsunami', leo hakuna mwenye uhakika kuwa akidhulumiwa uhai wake atasimama atoe kauli! Labda uwe swahiba wake. Sirudii jinai hiyo.
 
Ningemchagua Dr. Slaa kwa sababu zifuatazo
i) Hana taamaa ya madaraka
ii)Ana msimamo katika kile anachokiamini kuwa kinamanufa kwa taifa
iii)Ni mzalendo wa kweli dhidi ya jamii nzima ya kitanzania
Iv)Hafanyi mambo ili apate sifa
 
Ninaamini Ndugu Zitto anafaa katika nafasi ya uwaziri kwa sasa na si kwa nafasi anayoitamani ya kuwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Tanzania. Hii si kwa sababu ya umri bali namtazama kama binadamu anayehitaji kuunganisha mambo kadhaa ili aweze kuisimamia nchi. Nitampa kura yangu mtu ninayefikiri kuwa baada ya kuingia Ikulu kesho yake nitaamka nikiwa na kichwa changu. Fikiri huyu tuliyempa kwa 'tsunami', leo hakuna mwenye uhakika kuwa akidhulumiwa uhai wake atasimama atoe kauli! Labda uwe swahiba wake. Sirudii jinai hiyo.

thanks
 
kiukweli,zitto hawezi,hata uwaziri najistukia. Yan hata mtu asiejua siasa hawezi kumuamini. So,dk slaa hawezi kufananishwa na mtu mwingine mle ndani.
 
Dr slaa anaweza shujaa mwenye kuwa na uamzi wa busara asiye na papara katika kuchukua maamzi tunahitaji m2 kama huyu wa kuchukua maamzi mazito kwa manufaa ya wengi na tuangalie alko kiweka chama anauzoefu katika utawala anapaswa kupewa nafasi ya kutetea wananchi kupitia CHADEMA
 
naona kweli mmekosea kufananisha hawa watu nisawa na upambanishe
R KELLY na MR BLUE.
kweli huu ni uonevu na udhalilishaji kwa rais wa mioyo ya watz.
dr ni rais moyoni mwangu.
 
Slaa. 1-hana tamaa ya madaraka 2-ataondoa mafisadi 3-anauwezo wa kutawala 4-ni muwajibikaji. Kabwe ni mtu wa field hawez
 
apo ni mechi kati ya barcelona(espania)slaa vs jkt mgambo(tanzania)kazito
zito wewe bado ustahili kuwa rais kwa sasa pamoja na kujua kwako kupanga hoja
 
Msitake kumpa kichwa zito badala ya kumwambia ukweli yakua yeye atulie vinginevyo ataleta mpasuko ndani ya chama! slaa upo juuuu kama 500v~
 
zito ni mzito slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
achani ufinyu wakufikiri zito hana lolote uchu wa madaraka sifa. nakujiona kwamba yeye ni kilakitu aende akaombe uvccm hata bavicha sisaizi yake hana nguvu ya umma ananguvu ya unafiki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom