Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,434
- 1,294
WanaJF, SALAAM!
Niende moja kwa moja kwenye agenda ihusuyo Uhuru wa MTU kutoa maoni "Tulia Ackson ambaye pia ni Mbunge na Spika wa Bunge kwa maoni binafsi alinukuiwa akisema kuwa "Hatutaiachia Serikali".
Hapo kunguni wa CDM, NCCR, ACT, CUF wakaanza ku-riot na kusema kuwa Tulia Ackson hakupaswa kutamka maneno hayo. Sasa hapa nawauliza:
(a) Tulia Ackson si Mtanzania?
(b) Haki ya kutoa maoni haimuhusu?
(c) Mnaomkosoa hamuijui katiba ya nchi yetu?
Tulieni nguvu ya CCM iwaingie.
Msakila Kabende
Kakonko.
Niende moja kwa moja kwenye agenda ihusuyo Uhuru wa MTU kutoa maoni "Tulia Ackson ambaye pia ni Mbunge na Spika wa Bunge kwa maoni binafsi alinukuiwa akisema kuwa "Hatutaiachia Serikali".
Hapo kunguni wa CDM, NCCR, ACT, CUF wakaanza ku-riot na kusema kuwa Tulia Ackson hakupaswa kutamka maneno hayo. Sasa hapa nawauliza:
(a) Tulia Ackson si Mtanzania?
(b) Haki ya kutoa maoni haimuhusu?
(c) Mnaomkosoa hamuijui katiba ya nchi yetu?
Tulieni nguvu ya CCM iwaingie.
Msakila Kabende
Kakonko.