Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 339
- 1,244
Vijana wa Arusha (wadudu) msipobadilika mtaangamia sana.
Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.
Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.
Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.
Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.
Godbless Lema alikuwa mbele ya muda
Kuna video inatembea mitandaoni hasa twitter, bodaboda akigongana uso kwa uso na Subaru.
Chanzo ni mwendo kasi wa bodaboda na ku-over take bila kuchukua tahadhari.
Nafikiri wale jamaa wa bodaboda wamefariki palepale. Maana mmoja aliburuzwa na tairi la gari.
Kuna ajali nyingine naambiwa imetokea huko Kikatiti leo jioni ambapo bodaboda amevunjika miguu kutokana na mwendo kasi.
Godbless Lema alikuwa mbele ya muda