Edger Ezekiel
Member
- Feb 20, 2024
- 9
- 9
Jamii naomba tusaidiane kuelimisha juu ya utapeli unaofanyika hasa kwa mtandao wa facebook kwa kutumia jina la UNICEF.
Utapeli huu sasa umekithiri na watu wengi sana wanaendelea kuumia juu ya utapeli unaofanyika na kikundi kinachotumia jina la UNICEF na kudai kuwa wanatoa msaada wa fedha mara tu baada ya kuchati nao kwa njia ya WhatsApp.
Serikali pamoja na wamiliki wa mtandao wa facebook waingilie kati swala hili pia mfumo wa kuingia kwenye account ya mtu bila ruhusa ya mmiliki wa account hiyo ubadilishwe maana account nyingi hazina ulinzi kitu kinachofanya watu waibiwe account zao na zinatumika kufanya utapeli.
Utapeli huu sasa umekithiri na watu wengi sana wanaendelea kuumia juu ya utapeli unaofanyika na kikundi kinachotumia jina la UNICEF na kudai kuwa wanatoa msaada wa fedha mara tu baada ya kuchati nao kwa njia ya WhatsApp.
Serikali pamoja na wamiliki wa mtandao wa facebook waingilie kati swala hili pia mfumo wa kuingia kwenye account ya mtu bila ruhusa ya mmiliki wa account hiyo ubadilishwe maana account nyingi hazina ulinzi kitu kinachofanya watu waibiwe account zao na zinatumika kufanya utapeli.