KISS 100
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 527
- 1,105
Wasalamu,Mimi Si mpenzi wa mambo ya siasa,ila naomba kuuliza Ina Magufuli Voice!!!
Juzi Mkuu wa Mkoa wa Arusha katamka wazi wakati wa kuazimisha miaka 40 ya kifo Cha Sokoine.
Akasema wapo mawaziri hapa wanatoa Hela Ili Raisi wetu atukanwe.
Akasema mkiendelea nawataja wazi .Huyu jamaa yupo Sirius wakuu wangu.
Nahofia unakuja kutokea mpasuko mkubwa Tanzania.Simpangii Raisi wetu nini Cha kufanya ila awe makini na huyu mtu mana nchi hii tumeishi Kwa amani miaka mingi.
Nchi iendeshwe Kwa Katiba na Sheria.Siyo Kwa majungu na Hear Says.
Asanteni
Juzi Mkuu wa Mkoa wa Arusha katamka wazi wakati wa kuazimisha miaka 40 ya kifo Cha Sokoine.
Akasema wapo mawaziri hapa wanatoa Hela Ili Raisi wetu atukanwe.
Akasema mkiendelea nawataja wazi .Huyu jamaa yupo Sirius wakuu wangu.
Nahofia unakuja kutokea mpasuko mkubwa Tanzania.Simpangii Raisi wetu nini Cha kufanya ila awe makini na huyu mtu mana nchi hii tumeishi Kwa amani miaka mingi.
Nchi iendeshwe Kwa Katiba na Sheria.Siyo Kwa majungu na Hear Says.
Asanteni