Kukosekana kwa umeme Usiku wa kuamkia April 1, 2024 kumbe shida ni Maji kuwa mengi Bwawa la Kidatu

LugaMika

Member
Mar 13, 2024
38
53
TANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.

Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
1712387600508.png
 
TANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.

Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
Maji yalizidi unga kumbe
 
TANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.

Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.

Leo ilikuwa siku ya wajinga. Usiwaamini sana hao, hasa Leo na hasa hawa wa mama.
 
Siyo lazima mtumie umeme.Kwani vibatari bado hamjavinunua?Punguzeni makelele,eboo!
Aiseee!

Maisha ya sasa 99.99999% hutegemea umeme.

Mkuu, kuna milango umeme ukikata tu haifunguki.

Facilities almost zote za sasa hutegemea umeme. Ulinzi na usalama. Bila umeme ofisini unafanyaje kazi?

Unaishi sayari gani eti???
 
TANESCO imesema kukatika kwa umeme kumesababishwa na hitilafu kwenye mfumo wa kudhibiti kiwango cha maji kwenye mitambo ya Kidatu, na hivyo kushindwa kuzuia mtiririko mkubwa wa maji yanayoingia kwenye mitambo na kusababisha mitambo kujizima ghafla ili kujilinda.

Hitilafu hiyo katika gridi ya Taifa imesababisha maeneo mbalimbali nchini kukosa umeme kuanzia usiku wa kuamkia leo.
Kuyaamini maelezo ya usichokijua na huna namna ya ku-prove, na huku una historia mbaya ya anayeelezea, NI KAZI SANA
 
Back
Top Bottom