M Mzee2000 JF-Expert Member Aug 7, 2009 527 221 Jan 25, 2015 #1 Naomba mnisaidie Nina laini ya Voda, je kama siitumii kupiga simu lakini hela inawekwa( kwenye Mpesa) na kuna balance, je ni kweli line itakatwa baada ya miezi sita? Nashukuru.
Naomba mnisaidie Nina laini ya Voda, je kama siitumii kupiga simu lakini hela inawekwa( kwenye Mpesa) na kuna balance, je ni kweli line itakatwa baada ya miezi sita? Nashukuru.
M Mzee2000 JF-Expert Member Aug 7, 2009 527 221 Jan 25, 2015 Thread starter #2 Naombeni ushauri jamani