Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,334
- 14,271
Wakuu habari za mihangaiko...?,Ni kwamba nina Rafiki yangu ambaye ni Mtumishi wa Kada ya MIFUGO,Yeye yupo Wilaya ya KAKONKO mkoa wa Kigoma,sasa anaomba KUBADILISHANA na Mtu yeyote wa Kilimo/Mifugo,lkn hasa Mifugo,Mtu huyo awe tayari kuja kufanyia kazi Mkoa wa Kigoma,Wilaya ya Kakonko,Na Mtu wa Kubadilishana awe anafanyia kazi Mikoa ya Mbeya,Iringa,Rukwa na Morogoro.Kwa Mawasiliano zaidi piga simu No.0784-175740 au 0683673672.Naomba kuwasilisha.