PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 700
- 2,197
Jibu swali la msingi kwanza. Hujui kama NATO anaisaidia Ukraine?Nawe hujui kuwa Russia anasaidiwa na Iran?
Jibu swali la msingi kwanza. Hujui kama NATO anaisaidia Ukraine?Nawe hujui kuwa Russia anasaidiwa na Iran?
Urusi ya leo siyo USSR ile. Leo Urusi inaomba Silaha kutoka North Korea na Iran!Dunia inabadilika bro hakuanza marekani kuwa mbabe walikuwepo wababe kibao huko nyuma.
Ukimuonea sana mtu huwa anatafuta njia za kujilinda na uonevu, miaka 25 nyuma marekani alikuwa ana uwezo wa kuivamia na kuifanya chochote nchi kama irani au china, lakini sahizi ni lazima ajiulize mara mbili.
Huyo Bush au Bush jr hata wangekuwepo miaka hii wasingekuwa na uwezo wa kuingia vitani kichwa kichwa tu mbele ya urusi
Hali ya hewa kidogo nakubaliNi vyakula tunavyokula, au hali ya hewa ya huku inatuathiri?
Usa mbgese tu hana ubavu huoKuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
Hakuna ulichoandika hapa. Umeargue kama mtoto wa darasa la tatu.Putin ni muoga Sana kuhusiana na jeshi la NATO na ndio maana anajitahidi Sana kuhakikisha hawasogei karibu yake zaidi
Kwani USA ipo nje ya NATO?Kuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
mwenzako ana button zake na target muhimu kwa kila nchi mfano usa kuna wneo wakiguswa wanatuliza kipira na hawako tayar kupigwa hapoKuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
Wabongo mnavyojua kupepeta midomo? Usikute mtu Kama wewe hata Vita ya kagera hujaishuhudia. Ila unajifanya unayajua majeshi ya wakubwa wa duniaKwa hiyo wewe unadhani utapona???!!!! Dunia nzima itateketea... kwa hiyo acha ushabiki na kujitoa ufahamu. NATO wamezoea kuonea nchi nyingine ila sasa wamekutana na mwamba. Wakiingiza askari tu kwa maana the boots on the ground. Moscow inatangaza vita rasmi. Na ndiyo maana leo au jana Putin amesaini decree ya Restructuring the Russian armed forces. "Districts" mpya za majeshi zimeanzishwa zikiwa na makombora ya nyuklia yakiwa yameelekezwa kwa wanaojiita wajuaji na wengine wakiwa wamejiunga hivi karibuni na NATO.
Kwani Russia yeye aliwaweza hao Afghan?US na Uchumi kawashindwa Wataliban miaka 20 ndani ya Afghan ata muweza Russia
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Umeziona? Au ulisikia kijiwe Cha kahawamwenzako ana button zake na target muhimu kwa kila nchi mfano usa kuna wneo wakiguswa wanatuliza kipira na hawako tayar kupigwa hapo
Wewe nae,Sasa USA na yeye si ni mwanachama wa NATO. Ukisema NATO maana yake na USA yupo ndani yake.Kuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu
Huwezi kuelewa kitu kwa akili zako kisodaHakuna ulichoandika hapa. Umeargue kama mtoto wa darasa la tatu.
Pia alisema ni oparesheni maalumu na sio vita😀😀😀Sasa ni nani kama Russia hata Ukraine tu amemshinda hadi vita vimeingia mwaka wa tatu na kumbuka ameleta hadi wafungwa kupigana..😲😲
ndio maana ukaitwa warda, kwahiyo ukiwa na uchumi mkubwa tu unashinda vita? nikupe swal je Iran akipigana na Saudia nani atapigwa?Uchumi wa Russia ni 1.8 trillion usd GDP, uchumi wa NATO ni zaidi ya trillion 45 usd GDP. Mambo mengine ni kufurahisha baraza tu
Uchumi wa Russia ni 1.8 trillion usd GDP, uchumi wa NATO ni zaidi ya trillion 45 usd GDP. Mambo mengine ni kufurahisha baraza tu
USA hana uwezo wa kupigana na urusi bora ukraini labda wewe uwajui wamarekani vizuri .....marekani yenyewe inajua vyema kuwa haina uwezo wa kuishinda urusi kwa namna yoyote ndiyo maana wakaunda nato na kumtengenezea mrusi maadui wenye asili yake ya USSR kama kina ukrain nkKuingia vita na NATO hata yeye hawezi kupona, amekula ameshiba, vita ya Nuclear haina mshindi si yeye si NATO wote watatekeleza vibaya, miji yao kama Moskow, London, Paris, Berlin, St Petersburg itaharibika na kubaki majivu matupu, mwenye uwezo wa kumshinda Rusia ni USA tu