Plot4Sale Kiwanja kina uzwa arusha njiro

Bobldi

Member
Jun 24, 2019
15
2
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.

Kina ukubwa wa Square meter 1080
BEI million 12

kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
 
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.

Kina ukubwa wa Square meter 1080

kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
Acha Biashara Kama Dalali Ama Muuza Unga Weka Bei Ama Ni Bure
 
Duh!


Je vile viwanja vya bei nafuu vinavyopimwa na kuuzwa na halmashauri huwa bei yake ni kiasi gani?
Makazi/Biashara/hotel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom