Acha Biashara Kama Dalali Ama Muuza Unga Weka Bei Ama Ni BureKiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
Anauzia Tamaa Eti Kabadili Kaweka Millions 200Million80 mkuu mbona nyingi sana
Aah wapi hujaangalia vizuri,Njiro mil80 imekuwa KwaMoromboo kwani,ni milioni 400 mkuu,kwa Kishua hukoMillion80 mkuu mbona nyingi sana
Uyu dalali balaaa kaongezaa 230mAnauzia Tamaa Eti Kabadili Kaweka Millions 200
DuuuuAah wapi hujaangalia vizuri,Njiro mil80 imekuwa KwaMoromboo kwani,ni milioni 400 mkuu,kwa Kishua huko
JF Haina Biashara Za Namna Hiyo Unatakiwa Kila Kitu Kiwekwe Bayana Anayetaka Ndiyo AnakupigiaBoss ndo mahana nika weka namba ya cm apo tuwasiliane
Nenda Pale Kwenye Thread Yako Edit Uweke Bei Ili Anayesoma AnaionaSawa boss bei ni 12 million