Surrat~ZubaaMadrasa tu yule
Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Akifika Marekani anaongea lugha gani?Yule janja janja tuu na ka elimu kidogo ka uandishi habari basi sema utangazaji wa mpira na uchambuzi ndio unambeba
Jana nimemsikia kwenye kipindi anaboronga kutamka hata civics hawezi
Ana elimu ya hapa na pale, vipi kwani.Mwenye kujua kiwango cha juu kabisa cha Elimu ya Mtangazaji Nguli Maulid Mbaraka Kitenge atujuze.
NB: Hapa usitaje elimu ya dini, nazungumzia elimu hii ya dunia.
Katoroka zizini? Unamaanisha hana ubingwa?According to people jamaa katoroka zizini?
Kuhusu elimu sijui hila jamaa ni mwanaume wa dar tena konkodi kuna kipindi tulikuwa tuna wasiliana akadhindwa ficha mapungufu yake
Katoroka zizini? Unamaanisha hana ubingwa?
Daah hii Nchi Ina wazee wa ajabu.Akifika Marekani anaongea lugha gani?
Sio tu ameenda bali akiwa angani wahudumu walimtambua na kumtambulisha kama mtangazi wa habari za michezo nguli kwa kipaza sauti🤣hv kashaenda tena marekani?
Anaongea kimakonde...Akifika Marekani anaongea lugha gani?
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂Amehifadhi juzuu 4