Kama swali linavyouliza, ni kitu gani kimefanywa au hakikufanywa na Serikali iiliyoko madarakani ambacho kinakushawishi kuichagua au kutokuichagua tena?
Tukiwa tunakaribia uchaguzi wa serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu 2024 na uchaguzi wa Serikali Kuu utakaofanyika 2025
Natumai kila mtu analo au anayo mambo yalimfurahisha katika utawala uliopo au Kumuhuzunisha katika utawala uliopo na hio kuamua aidha kuichagua ili irudi tea mamdarakai au kutokuichagua ili isirudi tena.
Hivyo basi funguka ni vitu gani vitakufanya uichague au kutokuichagua tena Serikali iliyopo madarakani?
Kumbuka naposema Serikai namaanisha Serikali za mitaa na Serikali Kuu.
Tukiwa tunakaribia uchaguzi wa serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu 2024 na uchaguzi wa Serikali Kuu utakaofanyika 2025
Natumai kila mtu analo au anayo mambo yalimfurahisha katika utawala uliopo au Kumuhuzunisha katika utawala uliopo na hio kuamua aidha kuichagua ili irudi tea mamdarakai au kutokuichagua ili isirudi tena.
Hivyo basi funguka ni vitu gani vitakufanya uichague au kutokuichagua tena Serikali iliyopo madarakani?
Kumbuka naposema Serikai namaanisha Serikali za mitaa na Serikali Kuu.