Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,374
- 31,639
π π π π π Hongera..!! Wengine mkikosolewa mnaona mmedhalilishwa..!! Hongera "DUME LA SHOKA"Sawa Mama mdogo
π π π π π Hongera..!! Wengine mkikosolewa mnaona mmedhalilishwa..!! Hongera "DUME LA SHOKA"Sawa Mama mdogo
Sa sijui walijuaje kuwa TBC haionyeshi baadhi ya mechi..!! Hatari sana. Sema nini, ujuaji mwingi.Hao ndio wale walisema hawaangalii TBC halafu kwenye kombe la Dunia wakawa wanailalamikia TBC kutokuonesha baadhi ya mechi,
Dr. Mariposa kuna TV contents are not meant for people with PhD like youHao ndio wale walisema hawaangalii TBC halafu kwenye kombe la Dunia wakawa wanailalamikia TBC kutokuonesha baadhi ya mechi,
Hapana swali langu nilikua namuuliza mleta uzi Mama Mdogoπ π π π π Hongera..!! Wengine mkikosolewa mnaona mmedhalilishwa..!! Hongera "DUME LA SHOKA"
Hapana, kwa sasa niko nchini Zambia nikifanya kazi ya muda mfupi consultancy, baadaye naenda Namibia. Huko home Tanzania narudi mwezi wa September 2023, nikirudi naenda moja kwa moja kijijini kwangu mkoa wa Katavi nimeyamis sana makande na maziwa ya mtindi. Mtu kwao, nafustilia tamthlia za bongo kupitia Mydstv applications huku huku nje ya nchi. Naomba usaidie kupaaza sauti, kuna maudhui yenye ukakasi huko Kitimtim, na drama zingine.Kumbe upo bongo
Kabla ya kurushwa huhakikiwa na hilo ndilo lalamiko kuuSasa Dr. Mariposa, saa tatu usiku ya jana, hadi saa moja na dakika ishirini na nane asubuhi ya leo, kweli Mama Mdogo anaweza walau wizara, Baraza la Sanaa na TCRA kwamba hawajafanya lolote..!!?? Wangefanyia kazi muda gani..!!??
Bwana MIXOLOGIST, ungemkwoti yeye..!! Yaani unikwoti mimi halafu useme unamjibu Mama Mdogo, siyo kweli..!!! Kuwa na amani tu usihofu kiongozi.Hapana swali langu nilikua namuuliza mleta uzi Mama Mdogo
kulala wanasubiri nn au kujisomea Mimi navoangalia komedi uchwara kama hizoTupe uzoefu wako, mwenzetu unafanyeje?
Siwezi kukaa na mama mkwe au mama mzazi au baba kuangalia hayo madudu sebuleni labda taarifa ya habariKwanini umewaza watoto tu?
Je unaweza kuangalia maudhui ya hivyo ukiwa na wazazi au ndugu au wakwe?
Ni kweli, na ninakubaliana na wewe, lakini lalamiko hilo lingeelekezwa kwa wahariri wa ndani au DSTV wenyewe, na si wizara, baraza la sanaa na TCRA. Wahariri wa ndani ndiyo hupitia maudhui kabla ya kipindi kurushwa hewani.Kabla ya kurushwa huhakikiwa na hilo ndilo lalamiko kuu
Hao wadau, hasa Baraza la Sanaa huwa linapelekewa script kabla, wanasoma na kupitisha, kuboresha au kukataa. Shooting na recording zinaanza kwa kutumia script iliyopitishwa na baraza. Ina maana huo upuuzi wa jana umebarikiwa na baraza. Sijui kuhusu TCRA wanafanya monitoring muda gani. Lakini ninavyofahamu chombo kikiisema vibaya serikali au kuzodoa viongozi wakuu, within 24 hours TCRA inakuwa imechukua hatua. Sasa kwa hii episode ya Kitimtim ya kuombana ngono sijui na wao wanafurahishwa na hizo ngono au la, hata sijui.Sasa Dr. Mariposa, saa tatu usiku ya jana, hadi saa moja na dakika ishirini na nane asubuhi ya leo, kweli Mama Mdogo anaweza walau wizara, Baraza la Sanaa na TCRA kwamba hawajafanya lolote..!!?? Wangefanyia kazi muda gani..!!??
Mbona kawaidaNatoa rai kwa mamlaka husika (Wizara ya utamaduni na michezo, Baraza la ssna ka taifa, TCRA etc) kufuatilia kwa umakini maudhui ya Kitimtim comedy inayoneshwa kwenye chanel 160 DSTV/Multichoice.
Wameanza kuongelea mambo ya kufanya ngono kwa uwazi hadi inatia aibu mzazi kuangalia skiwa na watoto au wajukuu wake. Kipindi cha jana tarehe 15/05, kuna episode wahusika wawili wanaagizwa waingie ndani wapeane haki yao ya ndoa. Mara mhusika mmoja anasema hajatahiriwa, mara wasanii wengine huku nje wanashabikia walioko ndani wafanye ngono haraka.
Haya yote yanafanyika wakati Wizara ipo, Baraza la Sanaa lipo, na TCRA wapo.Very sarcastic and un professional.
Je mwanzo wa kipindi hicho hawakuweka maelezo ya unero sahihi wa kutazama kipindi hicho? Kama wameweka maelezo hayo (ambayo kwa unachosema ni umri wa miaka 16 anaruhusiwa kutazama) basi hawawezi kufungiwaNatoa rai kwa mamlaka husika (Wizara ya utamaduni na michezo, Baraza la ssna ka taifa, TCRA etc) kufuatilia kwa umakini maudhui ya Kitimtim comedy inayoneshwa kwenye chanel 160 DSTV/Multichoice.
Wameanza kuongelea mambo ya kufanya ngono kwa uwazi hadi inatia aibu mzazi kuangalia skiwa na watoto au wajukuu wake. Kipindi cha jana tarehe 15/05, kuna episode wahusika wawili wanaagizwa waingie ndani wapeane haki yao ya ndoa. Mara mhusika mmoja anasema hajatahiriwa, mara wasanii wengine huku nje wanashabikia walioko ndani wafanye ngono haraka.
Haya yote yanafanyika wakati Wizara ipo, Baraza la Sanaa lipo, na TCRA wapo.Very sarcastic and un professional.
Kwanini huja weka Itv Tbc,, aljazeera, tumaini tv, imaan tv n.kKwanini umewaza watoto tu?
Je unaweza kuangalia maudhui ya hivyo ukiwa na wazazi au ndugu au wakwe?
Usiku, marudio yake mchanaHii inaoneshwa muda gani?
Na kwanini hajaweka password hiyo chaneli, na kuhakikisha anatazama Itv,??Hivi unapata wapi muda wa kuangalia huo upuuzi?
Sijui hata kama umeelewa mada inahusu nini,Kwanini huja weka Itv Tbc,, aljazeera, tumaini tv, imaan tv n.k
Hizo nyengine unazolalamikia ni chaneli za burudani, lengo lao kuvutia watazamaji, ambao miongoni mwao ni watu wasiotazama tivii na wakwe na watoto
kama hupendi maudhui yake kuna option ya kuzipinga password, kwanini hujaweka pass word?
Ni kweli, kama wameweka PARENTAL CONTROL ambayo inahusisha umri, na yeye hajaweka hicho kitu hilo ni lake..!! Unfortunately, hakuna control inayoweza kuwekwa kwamba wewe na mkweo msikae kuangalia maudhui ya kikubwa kwenye TV moja. Hili la mtu kukaa na mama yake au baba yake au baba/mama mkwe ni la muhusika..!!Je mwanzo wa kipindi hicho hawakuweka maelezo ya unero sahihi wa kutazama kipindi hicho? Kama wameweka maelezo hayo (ambayo kwa unachosema ni umri wa miaka 16 anaruhusiwa kutazama) basi hawawezi kufungiwa