Kisheria ni daktari mwenye sifa zipi anaruhusiwa kufanya postmoterm

Jan 12, 2015
67
59
kuna sheria inaitwa Inquest Act ambayo inasema Medical Practitioner atafanya "postmoterm". Now the question is who is medical practitioner. according to Medical Practitioners And Dentist Act R.E 2002, Medical practioner in summary ni mtu anaye practice medicine or surgery. In practice, baada ya kuuliza madaktari mbalimbali na wanasheria wachache wansema daktari kuanzia mwenye cheo cha Assistant medical officer, Medical Officer na kuendelea ndo wanao ruhusiwa kufanya postmoterm. My concern is to know the exctatly law. Yaani sheria ipi inawapa power madaktari hao wenye vyeo hivyo kufanya postmoterm kwasababu hiyo Sheria ya Medical Practitioners Act iko silent haitaja madaktari wenye sifa/vyeo gani wanaruhusiwa kufanya postmoterm. So wadau ningependa kujua kama kuna sheria tofauti na hiyo au au kama kuna amendment and/ Case law inaonyesha madaktari wenye sifa zipi wanarhusiwa kufanya postmoterm. Nita shukuru sana nikipata kutoka kwenu.
 
kuna sheria inaitwa Inquest Act ambayo inasema Medical Practitioner atafanya "postmoterm". Now the question is who is medical practitioner. according to Medical Practitioners And Dentist Act R.E 2002, Medical practioner in summary ni mtu anaye practice medicine or surgery. In practice, baada ya kuuliza madaktari mbalimbali na wanasheria wachache wansema daktari kuanzia mwenye cheo cha Assistant medical officer, Medical Officer na kuendelea ndo wanao ruhusiwa kufanya postmoterm. My concern is to know the exctatly law. Yaani sheria ipi inawapa power madaktari hao wenye vyeo hivyo kufanya postmoterm kwasababu hiyo Sheria ya Medical Practitioners Act iko silent haitaja madaktari wenye sifa/vyeo gani wanaruhusiwa kufanya postmoterm. So wadau ningependa kujua kama kuna sheria tofauti na hiyo au au kama kuna amendment and/ Case law inaonyesha madaktari wenye sifa zipi wanarhusiwa kufanya postmoterm. Nita shukuru sana nikipata kutoka kwenu.

Mkuu m sitaongelea sheria ntaongelea uhalisia ulivyo.

Kwanza huu uchunguz unafanywa na mtu ambaye ni advanced katika kada ya medical.

Kwa kifupi ni kwamba assistance medical officer, clinical officer na MD hawawez kufanya postmortem.

Hii inafanywa na specilized personnel na hapa inawahusisha watu tunawaita PATHOLOGIST katika kitengo cha maabara

Hawaw PATHOLOGIST ni wale wenye MD MMED in pathology

Nawasilisha
 
Je ni hospital ngapi zina Hao pathologists mkuu ?? Naamini hata hizo za Rufaa za mikoa hakuna pathologists,pathologist utawakuta zone hospitals tu so chini ya hapo nyingi zitakuzinafanywa na other medical practitioners ambao basically watakua kuanzia clinical officer,assistant medical officer na medical officer,ambao hawa wote ni general medical practitioners
 
Niulize kingine, hao pathologists zaidi ya postmortem ni kazi gani nyingine za kidaktari wanafanya?
 
Niulize kingine, hao pathologists zaidi ya postmortem ni kazi gani nyingine za kidaktari wanafanya?
Wana kazi nyingi sana wao ndio wanaotoa confirmation ya suspects from clininical diagnosis, mfano huwezi sema mtu ana cancer kama hajapita kwa pathologist (nazungumzia biopsy). lakini pia kusaidia tu pathologist nchi yetu wapo wachache sana tena sio competent nimeshakaa na pathologist toka Netherland niliona wabongo hatusomi tunacheza tu na hiyo fani, actually hata hizo zonal hospital utakuta yupo mmoja au asiwepo ni fani ngumu na inahitaji utulivu wa akili
 
Wana kazi nyingi sana wao ndio wanaotoa confirmation ya suspects from clininical diagnosis, mfano huwezi sema mtu ana cancer kama hajapita kwa pathologist (nazungumzia biopsy). lakini pia kusaidia tu pathologist nchi yetu wapo wachache sana tena sio competent nimeshakaa na pathologist toka Netherland niliona wabongo hatusomi tunacheza tu na hiyo fani, actually hata hizo zonal hospital utakuta yupo mmoja au asiwepo ni fani ngumu na inahitaji utulivu wa akili
Kwa hiyo wao wanashughulika na maiti tu na si Mtu aliye hai?

Jingine, anapomfanyia Maiti postmortem ni watu gani wanapaswa kuwepo ndani?
 
Kwa hiyo wao wanashughulika na maiti tu na si Mtu aliye hai?

Jingine, anapomfanyia Maiti postmortem ni watu gani wanapaswa kuwepo ndani?

Sio kweli wanashughulika na maiti tu no

Watu hawa wanakuwa wanesoma histology sana ie study of the microscopic structure of the tissue kwa hyo wanakuwa na ufahamu wa hali ya juu kuhusu tissu na kazi zao kubwa ni ku investigate matatzo yanayotokana na tissue na cell kwa ujumla like cancer na malignancies
 
Je ni hospital ngapi zina Hao pathologists mkuu ?? Naamini hata hizo za Rufaa za mikoa hakuna pathologists,pathologist utawakuta zone hospitals tu so chini ya hapo nyingi zitakuzinafanywa na other medical practitioners ambao basically watakua kuanzia clinical officer,assistant medical officer na medical officer,ambao hawa wote ni general medical practitioners

General practitioners kwanza tambua kwa kiasinkikubwa hawana knowledge ya kuinvestigate hzo habar kwa kias kikubwa

Moja ya mambo yanayohitaj advanced education katika medicali ni hili swala hatuwez kuconclude kwamba hawa wafanye ku investigate hizi case ilhali hawana sifa kwa sababu tu wapo wenyewe na hakuna pathologist


Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali wana kitengo kinacho deal na habar za forensic nadhani hiki ni very useful sana kwa sababu sample zinapelekwa pale kwa ajili ya uchunguzi

Na pia kwa upande wa hawa pathologist sio wote wanafanya hii kazi wapo tunawaita forensic pathologist
 
Pathologist no kweli lakini umeenda mbali sana .navyojua ni kama sheria isemavyo .lkn inipractice wanafanya ni kuanzio AMO,MO NA kuendelea.
 
Ila kufanya postmodern ni kazi ambayo ni sehemu ndogo sana ya kazi yao ,kama practitioner wadogo wakiisha shindwa.
 
Ila kufanya postmodern ni kazi ambayo ni sehemu ndogo sana ya kazi yao ,kama practitioner wadogo wakiisha shindwa.

Kufanya postmortem ni kaz ndogo? Serious kaz ambayo inahitaji specility na advanced medical education unasema ndogo.

Mkuu kwa taarifa tu ni kwamba post mortem inahusisha zaid laboratory investigation kwa kiasi kikubwa so hao unaowaita AMO au AMO hawana elimu ya maabara ambayo itawawezesha wao kufanya uchunguzi

Narudia kusema kama nlivyosema hapo juu PATHOLOGIST ndo mtu wa kufanya postmortem analysis na si vinginevyo

Otherwise aongezeke mtaalam wa maabara aliyesoma toxicology in case wakisuspect kwamba huyu mtu kapewa sumu
 
Back
Top Bottom