Kinachoendelea ni maana halisi ya Uhuru WA kutoa Maoni

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,642
52,460
Habari wakuu!

Hichi kinachoendelea ni moja ya Maendeleo makubwa ambayo Kwa awamu ya tano isingewezekana, serikali ipongezwe Kwa kurejesha Maendeleo haya ya Watu kuwa Huru.
Kimsingi nchi inaamani, inautulivu, Watu wanaparangana na kutoa Maoni Yao Kwa Amani bila ya hofu. Unajua kuna Watu wanaweza wasielewe Jambo hili(wala sio kosa Lao), Kwa Sababu ni kawaida kutolewa Jambo ambalo huna uzoefu nalo.
Mambo ya Bandari yaendelee kujadiliwa, serikali ichukue hatua stahiki Kwa kuboresha maeneo ambayo yanaleta utata Kwa Watanzania Kwa maslahi ya Taifa.

Hata hivyo niseme tuu kuwa Uhuru huu wa Maoni uendane na uwajibikaji na kusikiliza Maoni yaliyobora. Na sio uwe Uhuru WA Maoni yanayopuuzwa. Hiyo itahesabika kama dharau, kudharau wananchi. Na sidhani kama serikali makini yenye viongozi Bora wanaweza kukubali kuwa na Sifa Mbaya kama hiyo.

Ninawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Awamu ya tano ni kiboko ya wajinga wote,haya Uhuru huo tajeni ufisadi na hatua mchukue,sio uhuru wa kulalama bila kuchukua hatua kwa wahalifu,ujinga
 
Habari wakuu!

Hichi kinachoendelea ni moja ya Maendeleo makubwa ambayo Kwa awamu ya tano isingewezekana, serikali ipongezwe Kwa kurejesha Maendeleo haya ya Watu kuwa Huru.
Kimsingi nchi inaamani, inautulivu, Watu wanaparangana na kutoa Maoni Yao Kwa Amani bila ya hofu. Unajua kuna Watu wanaweza wasielewe Jambo hili(wala sio kosa Lao), Kwa Sababu ni kawaida kutolewa Jambo ambalo huna uzoefu nalo.
Mambo ya Bandari yaendelee kujadiliwa, serikali ichukue hatua stahiki Kwa kuboresha maeneo ambayo yanaleta utata Kwa Watanzania Kwa maslahi ya Taifa.

Hata hivyo niseme tuu kuwa Uhuru huu wa Maoni uendane na uwajibikaji na kusikiliza Maoni yaliyobora. Na sio uwe Uhuru WA Maoni yanayopuuzwa. Hiyo itahesabika kama dharau, kudharau wananchi. Na sidhani kama serikali makini yenye viongozi Bora wanaweza kukubali kuwa na Sifa Mbaya kama hiyo.

Ninawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Watakuja kukutukana Tu wasio na shukran
 
Kundi la Simba wanakula kwa hasira na wanakuwa very deadly kwa watakojaribu kusogea maslahi yao.

Mchwa wanakula taratibu, tena wanakula na marafiki wakaribu wachache kwa faida wote 2(symbiotic relationship), unaweza usihisi wala kuona kitu, matokeo yake utayaona baadae.

Upi ni ulaji mzuri?
 
Kundi la Simba wanakula kwa hasira na wanakuwa very deadly kwa watakojaribu kusogea maslahi yao.

Mchwa wanakula taratibu, tena wanakula na marafiki wakaribu wachache kwa faida wote 2(symbiotic relationship), unaweza usihisi wala kuona kitu, matokeo yake utayaona baadae.

Upi ni ulaji mzuri?

Inategemea.
Kwa Aina ya watanzania tulivyo, wazalendo ni moja Kwa Mia moja
 
Habari wakuu!

Hichi kinachoendelea ni moja ya Maendeleo makubwa ambayo Kwa awamu ya tano isingewezekana, serikali ipongezwe Kwa kurejesha Maendeleo haya ya Watu kuwa Huru.
Kimsingi nchi inaamani, inautulivu, Watu wanaparangana na kutoa Maoni Yao Kwa Amani bila ya hofu. Unajua kuna Watu wanaweza wasielewe Jambo hili(wala sio kosa Lao), Kwa Sababu ni kawaida kutolewa Jambo ambalo huna uzoefu nalo.
Mambo ya Bandari yaendelee kujadiliwa, serikali ichukue hatua stahiki Kwa kuboresha maeneo ambayo yanaleta utata Kwa Watanzania Kwa maslahi ya Taifa.

Hata hivyo niseme tuu kuwa Uhuru huu wa Maoni uendane na uwajibikaji na kusikiliza Maoni yaliyobora. Na sio uwe Uhuru WA Maoni yanayopuuzwa. Hiyo itahesabika kama dharau, kudharau wananchi. Na sidhani kama serikali makini yenye viongozi Bora wanaweza kukubali kuwa na Sifa Mbaya kama hiyo.

Ninawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
jf, tweeter, na jambo tv online, ndio media kimbilio za wazalendo,na sauti zao zimesikika media zote, magazeti ziko mfukoni, , uhuru wa kununua vyombo vya habari ni utumwa na uhuru. au unadhani hatukumbuka msemaji aliwaambia hadharani na kunukuliwa waandike namba zao, ?

hakuna uhuru wa hivyo, miaka yote tangu 1995-202....................huku ndio kimbilio letu,
 
jf, tweeter, na jambo tv online, ndio media kimbilio za wazalendo,na sauti zao zimesikika media zote, magazeti ziko mfukoni, , uhuru wa kununua vyombo vya habari ni utumwa na uhuru. au unadhani hatukumbuka msemaji aliwaambia hadharani na kunukuliwa waandike namba zao, ?

hakuna uhuru wa hivyo, miaka yote tangu 1995-202....................huku ndio kimbilio letu,

Hao wanaoita Press tukaziona kwenye TV(hata kama ni online TV) media zao hazijafungiwa?
 
Hao wanaoita Press tukaziona kwenye TV(hata kama ni online TV) media zao hazijafungiwa?
unadhani kuna mizani sawa ya kuhabarishwa? au tusifie tu, habari zinabinywa na zinapatikana kwa watu wenye elimu na mitandao tu, ccm na serikali wanachofanya mtu wa kawaida asipate habari zihi, na asielewe nini kinaendele kwenye nchi yake, ndio maana media zinazowafikia watu wengi hukuti habari hizi, angalia wasafi, efm, clouds, tbc, itv, azam, utakuta hizi habari

uhuru uko wapi?
utasikia press za msigwa tu, sisi ndio tunazipata huku kwa udogo wake lakini tunaambiwa tunapotosha na zinawafikia wengi kwa shida, bando liko juu ni online moja tv tu nayo ni jambo zingine hakuna
 
unadhani kuna mizani sawa ya kuhabarishwa? au tusifie tu, habari zinabinywa na zinapatikana kwa watu wenye elimu na mitandao tu, ccm na serikali wanachofanya mtu wa kawaida asipate habari zihi, na asielewe nini kinaendele kwenye nchi yake, ndio maana media zinazowafikia watu wengi hukuti habari hizi, angalia wasafi, efm, clouds, tbc, itv, azam, utakuta hizi habari

uhuru uko wapi?
utasikia press za msigwa tu, sisi ndio tunazipata huku kwa udogo wake lakini tunaambiwa tunapotosha na zinawafikia wengi kwa shida, bando liko juu ni online moja tv tu nayo ni jambo zingine hakuna

Uhuru upo ingawaje kama ulivyosema bado unatakiwa uongezwe.
 
Hao wanaoita Press tukaziona kwenye TV(hata kama ni online TV) media zao hazijafungiwa?
tls wametoa maoni umeona hata chombo cha habari kimoja kimewafuata kuwahoji?, rostam karekodiwa mpaka na itv, na tbc, kwa ujinga aliokuwa anaongea,

hakuna uhuru sema technologia ndio inawaumbua, technologia imekuwa kumzuia mtu ni shida hata magu alishindwa katika hili, habari lazima tupeane, kama kuna uhuru wa habari watoe mizani sawa uone
 
Habari wakuu!

Hichi kinachoendelea ni moja ya Maendeleo makubwa ambayo Kwa awamu ya tano isingewezekana, serikali ipongezwe Kwa kurejesha Maendeleo haya ya Watu kuwa Huru.
Kimsingi nchi inaamani, inautulivu, Watu wanaparangana na kutoa Maoni Yao Kwa Amani bila ya hofu. Unajua kuna Watu wanaweza wasielewe Jambo hili(wala sio kosa Lao), Kwa Sababu ni kawaida kutolewa Jambo ambalo huna uzoefu nalo.
Mambo ya Bandari yaendelee kujadiliwa, serikali ichukue hatua stahiki Kwa kuboresha maeneo ambayo yanaleta utata Kwa Watanzania Kwa maslahi ya Taifa.

Hata hivyo niseme tuu kuwa Uhuru huu wa Maoni uendane na uwajibikaji na kusikiliza Maoni yaliyobora. Na sio uwe Uhuru WA Maoni yanayopuuzwa. Hiyo itahesabika kama dharau, kudharau wananchi. Na sidhani kama serikali makini yenye viongozi Bora wanaweza kukubali kuwa na Sifa Mbaya kama hiyo.

Ninawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ni lini watu waliacha kuzungumza??

Hakuna siku watu wataacha kuzungumza hata uwe unaua kila siku.

Na Suala la watu kuzungumza nchi yao siyo hisani ya Rais
 
Uhuru upo ingawaje kama ulivyosema bado unatakiwa uongezwe.
mkuu sema technologia imekuwa na si uhuru, mwangalie lisu alipoongea vyombo vya habari gani vilitoa press yake, dr. slaa ( tena wakapotosha hata ujumbe wake ili kuwazunga watz wa vijijini waone kuwa hata slaa kaunga mkono)

hakuna uhuru wa habari, sema technologia ya habari ndio imekuwa sana.
 
Back
Top Bottom