Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,446
104,819
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.

Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka kama ifuatavyo;

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
 
Wachezaji wa Yanga wana Jihad siku zote na mashabiki wao wana Hasira.

waliposema nyumba Mwiko walikuwa wanamaanisha.

Ngoja sasa waje wakutimulie vumbi. Maana wao wako bize na Dejan wanasahau wana watu kibao pale hata goli moja hawana.
Kama yule Kambole ndo ingekuwa amesajiliwa Simba SC, maneno yangekuwa mengi sana..! Kuliko ilivyo sasa.

Tunasema siku zote usajili ni mtihani duniani.
 
Amna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?

Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong

Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
 
Uongozi na wachezaji wa Simba ndio wanajua miguu ya AZZ K inathamani gani wewe shabiki maandazi hujui lolote.
CEO wako akibahatika kusoma unachokiandika ata kuona waajabu sana.Ata kiungo wa Simba mwenye Spidi ya konokono ame mvulia kofia K AZZ.
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija...
Wewe ni mpuuzi miongoni mwa wapuuzi, umekuwa na kilanga cha kukurupuka kupost utumbo baadae unakuja kujificha kwa aibu, ulikuwa unamlinganisha kibu denis na mayele kuwa yanga wamepigwa na kibu ni zaidi ya mayele kilichofata uzi uliutelekeza saivi unauchungulia tu kama mtu aliyeshikwa ugoni, leo hii unarudia kile kile ulichomponda nacho mayele akiwa amecheza mechi 3 tu na akiwa mgeni wa ligi kuwa yanga imepigwa unakirudia kwa Aziz ki kuwa ni hasara, kwanza si mlikataa kuwa akusajiliwa kwa hizo pesa sasa inakuwaje leo unaandika mlichokikataa?

Kwa kujua ya kuwa mashabiki wa makolo amko sawa vichwani na amjui chochote kuhusu mpira mnaanza kumhukumu mchezaji mpya kwenye ligi mpya na mazingira mapya tena akiwa amecheza mechi zisizopungua 4?

Mashabiki wapuuzi kama nyie ndio wanaolifanya soka la Tanzania liendelee kudumaa kila siku maana limejaa watu wa ovyo ovyo wasiojitambua
 
Amna kitu pale kama ameshindwa kufunga hafi mechi ya jana tutegemee nini?

Anawapa wakati mgumu mashaniki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong

Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
Wewe angalia wachezaji wako, unanyoosha shingo kwa jirani wakati kwako kunanuka uvundo ni maajabu aya
 
Wewe ni mpuuzi miongoni mwa wapuuzi, umekuwa na kilanga cha kukurupuka kupost utumbo baadae unakuja kujificha kwa aibu, ulikuwa unamlinganisha kibu denis na mayele kuwa yanga wamepigwa na kibu ni zaidi ya mayele kilichofata uzi uliutelekeza saivi unauchungulia tu kama mtu aliyeshikwa ugoni, leo hii unarudia kile kile ulichomponda nacho mayele akiwa amecheza mechi 3 tu na akiwa mgeni wa ligi kuwa yanga imepigwa unakirudia kwa Aziz ki kuwa ni hasara, kwanza si mlikataa kuwa akusajiliwa kwa hizo pesa sasa inakuwaje leo unaandika mlichokikataa? Kwa kujua ya kuwa mashabiki wa makolo amko sawa vichwani na amjui chochote kuhusu mpira mnaanza kumhukumu mchezaji mpya kwenye ligi mpya na mazingira mapya tena akiwa amecheza mechi zisizopungua 4? Mashabiki wapuuzi kama nyie ndio wanaolifanya soka la Tanzania liendelee kudumaa kila siku maana limejaa watu wa ovyo ovyo wasiojitambua
Umemfunda. Kama ana akili atatulia
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Mkuu wewe ni Gentamicin? Unaonekana ni fala sana.
 
Wewe ni mpuuzi miongoni mwa wapuuzi, umekuwa na kilanga cha kukurupuka kupost utumbo baadae unakuja kujificha kwa aibu, ulikuwa unamlinganisha kibu denis na mayele kuwa yanga wamepigwa na kibu ni zaidi ya mayele kilichofata uzi uliutelekeza saivi unauchungulia tu kama mtu aliyeshikwa ugoni, leo hii unarudia kile kile ulichomponda nacho mayele akiwa amecheza mechi 3 tu na akiwa mgeni wa ligi kuwa yanga imepigwa unakirudia kwa Aziz ki kuwa ni hasara, kwanza si mlikataa kuwa akusajiliwa kwa hizo pesa sasa inakuwaje leo unaandika mlichokikataa? Kwa kujua ya kuwa mashabiki wa makolo amko sawa vichwani na amjui chochote kuhusu mpira mnaanza kumhukumu mchezaji mpya kwenye ligi mpya na mazingira mapya tena akiwa amecheza mechi zisizopungua 4? Mashabiki wapuuzi kama nyie ndio wanaolifanya soka la Tanzania liendelee kudumaa kila siku maana limejaa watu wa ovyo ovyo wasiojitambua
Labda mpuuzi mama yako. Huna mamlaka ya kunipangia maoni. Huyo mchezaji wenu mkitaka tusimtolee maoni mwambieni akacheze uvunguni mwa aliyemsajili. Ila akicheza huku public tutamuandika tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom