econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 16,092
- 22,217
Kama hujui kitu Kaa kimya. Stan alikuwa, unaandika kana kwamba hatukuwepo kipindi hicho. Acha utapeliStan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Kama hujui kitu Kaa kimya. Stan alikuwa, unaandika kana kwamba hatukuwepo kipindi hicho. Acha utapeliStan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Tuambie kuhusu Imran Kombe. Kwa maslahi ya Taifa u hv 2face the concequencesUkweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Mfuate huyo mpumbavu wakoWema hawafi na wakifa hawaozi
Stan Katabalo alikufa natural death due to severe illness.Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Kuna kituko Mwinyi alifanya nadhani wakati huu sultan angekuwa ndo mtawala wetu.Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Mwandishi nguli aliyeshinda nishani ya Nobel ya fasihi ya mwaka 1970, Alexander Solzhenitsyn, aliandika hivi.Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Kumbe wew ni mkimama ok nakuja DMDah umenikumbusha enzi nanunua magazeti kusoma.
Nikiwa binti kabisa nilikuwa so interested kusoma habari za kichunguzi, zilikuwa makala ndefu ndefu zinasisimua kweli kweli
Kufanya nn?Kumbe wew ni mkimama ok nakuja DM
1.Spinning PropagandaStan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Aliambukizwa na mama yakoStan Katabaro alikufa kwa HIV AIDS acheni kupotosha mambo.
Swali, mzee Mwinyi baada ya machozi alifanya nini?Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Hakuna details kwenye Uzi wako,hujataka kueleza kifo Cha stan kilikuaje,aliuawa au!...ili tu uvipake damu ya stan viganja vya mzee mwinyi,miaka hiyo ndo tumetoka kwenye ujamaa,hata wasomi wetu hawakujua Wala kuamini katika uwekezaji, loliondo kuliuzwa au palifanyika uwekezaji!?..kabla ya loliondo hatujawahi kuingia mkataba wa miaka mia na familia ya kifalme ya uingereza kwa ardhi yetu nyanda za juu kusini!?..mmeliimba hili Kama loliondo!?Ukweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Stan alikufaje!?Unafiki ni kipaji ndugu yangu,unatoa order mtu awe executed,kazi ikishafanyika unajifanya kulia ahaaa
Ndivyo mlivyo,mnafichaga udini wenu kwenye Zanzibar na pwaniKwanini waislamu mnajistukia sana? Kwasababu hiyo hali nishaiona kwa wapuuzi wengi wakiislamu ukimkosoa samia tu utasikia kisa ni muislamu aisee hakuna watu wapumbavu kama waislamu
Binti hidaya haikuwa ya msela nondo wa uingereza makengeza bin Richard bin mabala,Aya ya ayaa Binti hidayaNika
Kabisa , kuna siku nilimuuliza binti yangu.
Umewahi kununua gazeti?
Alinishangaa kama nimemuliza umewahi kumuona Lucifer!
Nilisikia tu huruma, kile kipindi mimi nilikuwa natenga pesa ya kununua magazeti ya Rai , kumsoma Silva Rweyemamu na Jenerali Ulimwengu na makala yake ya Binti Hidaya.
Likaja Tanzania Daima (la mwanzo lile kabla halijachakachuliwa)
Citizen pia kulikuwa na makala very eye opening!
Siku hizi hata sijui wanasoma nini aiseeh!
Ni uuzani au uwekezaji!?Mm huu uzi niliuapandisha kuuzu mzee mwinyi kuuza loliondo kwa waaarabu wa OBC ottelo business cooperation
Ilifutwa na sijapewa sababu za kufutwa
Mwinyi anaongelewakuwa Ni my muuungwana sna mm Sina shida na uungqama wake kosa lake kubwa kuuza loliondo kwa waaarabu kinyemela alfu anakah kimya as if Hakuna madudu ameyafanya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Mzee ruksa baada ya takribani miaka 33 anaenda kukutana stan. Miaka haicjelewiUkweli usemwe marais wa kutoka Zanzibar huwa hawalindi maliasili za bara.
Enzi za utawala wa mzee Ruksa kuliibuka sintofahamu kuhusu Lokiondo kuuzwa kwa waarabu.
Aliyekuwa waziri wa maliasili Abubakar Mgumia alipobanwa alisema muulizeni Rais mimi natekeleza tu maagizo.
Waandishi wote either waliongwa au waliogopa,Stan Katabaro alliripoti mambo mazito, kilichompata ni kuacha mjane na watoto kadhaa
Kifo chake kilijaa utata, Mzee Ruksa baada ya kuambiwa Stan kafa alilia machozi hadharani, mpaka leo haijulikani machozi yale yalimaanisha nini maana alimsumbua sana mzee Ruksa na utawala wake kuhusiana na hiyo kashfa, Stan ni Ken Saro-Wiwa wa Tanzania.
Pia soma
- Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
What is your point?Enzi za vimemo kupitia messenger mzee Butiku na waziri mkuu Jaji Warioba?!!! Unazungumza Enzi za kivuli cha Mwalimu JKN na kupanga nani awe waziri nani akae paleee? Hauwezi kuwa serious na Enzi za zidumu fikra za Mwenyekiti