mtokeibwima
Member
- Aug 2, 2014
- 71
- 33
Yaani TANESCO KIBITI mnatia aibu sana. Kila siku umeme hauwaki mfululizo zaidi ya saa moja au mawili. Hii haijalishi ni usiku au mchana. Yaani ni mwendo wa washa zima. Mjitafakari sana.
Na msivyo na aibu mnasema eti ni miundombinu wakati tangu umeme umeingia wilaya ile haijafika miaka 10. Ni uchakavu gani huo wa kiboya boya.
Mjitafakari kwenye utoaji huduma wenu hapa Kibiti. Shame on you
Na msivyo na aibu mnasema eti ni miundombinu wakati tangu umeme umeingia wilaya ile haijafika miaka 10. Ni uchakavu gani huo wa kiboya boya.
Mjitafakari kwenye utoaji huduma wenu hapa Kibiti. Shame on you