Difficult to prove..........it is his word against mine.......no witnesses........no video cameras etc....................amounting to no evidence at all.............."Muro alinitishia kuwa yeye ni afisa wa jeshi na ana nyota tatu amesomea Uingereza na Marekani, alifungua dashboard ya gari na kutoa pingu, akaniambia nikileta fujo atanifunga, alinitolea na bastola na kuniambia pia ikishindikana kunidhibiti ananipiga risasi kwa kutumia bastola hiyo," alidai.
"Baada ya kumaliza kuwapatia sh milioni moja, niliingia kwenye gari la Murro akaenda kunishusha mgahawa wa Best Bite na tutakubaliana kesho yake tukutane kwenye mgahawa wa City Garden ulioko mtaa wa Mkwepu… Nikapanda kwenye gari langu nikaenda nyumbani kwangu Bagamoyo nikawaeleza ndugu zangu kuhusu tukio la mimi kutishiwa bastora na kuombwa rushwa; wakaniambia nikatoe taarifa polisi….na kweli Januari 31 mwaka jana, nilivyokuja Dar es Salaam nilifikia moja kwa moja kituo kikuu cha Polisi Kati huku mfukoni nikiwa na sh milioni tisa," alidai Wage.
Polisi waliingilia kazi za Takukuru za kuchunguza rushwa na hili laweza kuwa la msaada mkubwa kwa Murro kama atalijengea hoja vizuri.....polisi walipaswa kuliwakilisha suala hili Takukuru na kwa kutofanya hivyo..............dai la Murro kuwa polisi wamemtumia mtuhumu ili kumkomoa kutokana na kuitekeleza kazi yake vyema ambako kunawakwaruza polisi na hivyo kunuia kumbambikizia kesi linaweza kuwa hoja ya kisheria ya kumtoa kwenye hili sakata....................
It all boils down to whom will the Hon. Magistrate believe..........................It is a criminal case of one man against three...........Who is more credible between the two sides?............
Ushahidi wa kutoa hongo ya milioni moja utamwumiza mtoa hongo kwa sababu mtoa na mpokea hongo wote ni mafisadi tu...............Ingawaje si rahisi kuthibitisha Mahakamani ya kuwa ukiwa pekee yako ulitoa hongo ya kiasi hicho na fedha hizo hivi sasa hazijulikani zilipo....na hazina namba za Takukuru chombo amacho kina ridhaa ya kuchunguza makosa ya rushwa...................
Shahidi huyo alidai Muro akiwa kwenye gari bila kujua mtego huo, alimpigia Wage simu kuwa atoke nje ya mgahawa huo na alipotoka alimuoneshea ishara aliko ili aende.
Kwa mujibu wa madai hayo, Wage alipofika kwenye gari la Muro kabla hajaingia ndani, mshitakiwa huyo alishtuka akataka kuingia kwenye gari aondoke lakini askari walimpa amri ya kutoondoka.
TAKUKURU ni wababaishaji hawajui hata wanachokifanya.
Hii kesi ni ya kubambikiziwa na huyu shahidi ushahidi wake unagongana......................Haiwezekani Murro ajitambulishe ni afisa wa TBC1 halafu tena ajigeuke utambulisho huo awe afisa wa Takukuru......................
Hiki siyo kigezo cha polisi kuwanyang'anya majukumu yao ya kisheria.........................................PHP:TAKUKURU ni wababaishaji hawajui hata wanachokifanya.
Uamuzi huo wa kustua ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Gabriel Mirumbe ikiwa ni muda mfupi baada ya shahidi wa sita wa upande wa Jamhuri, D/C Koplo Lugano Mwampeta kumaliza kutoa ushahidi wake na Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka nchini, Stanslaus Boniface kueleza kuwa wamefunga ushahidi.