KERO: Mabasi ya ABOOD kujaza abiria kupita uwezo

Dreamliner

JF-Expert Member
Jan 17, 2010
2,034
213
Leo nimesafiri na basi la ABOOD kutoka Morogoro namba T818_____ lililoondoka saa 6.00 mchana. Mambo ya ajabu niliyoyaona na nikikuwa ninayasikia kabla ni kujaza abiria kupita kiasi, wengine hukaa pale mbele karibu na driver, wengine wanachuchumaa kwenye corridor, kama hakuna dalili za askari wanasimama. Kuulizia, nikaambiwa hao hulipa kati ya shs. 5,000.00 mpaka 8,000.00 kutoka Dar Morogoro au Morogoro Dar.

Usumbufu unaopatikana kwa abiria aliyekaa ni kuegemewa na kama itatokea ajali, ni balaa kwani katikati wamejaa abiria.

Aibu sana!
 
Leo nimesafiri na basi la ABOOD kutoka Morogoro namba T818_____ lililoondoka saa 6.00 mchana. Mambo ya ajabu niliyoyaona na nikikuwa ninayasikia kabla ni kujaza abiria kupita kiasi, wengine hukaa pale mbele karibu na driver, wengine wanachuchumaa kwenye corridor, kama hakuna dalili za askari wanasimama. Kuulizia, nikaambiwa hao hulipa kati ya shs. 5,000.00 mpaka 8,000.00 kutoka Dar Morogoro au Morogoro Dar.

Usumbufu unaopatikana kwa abiria aliyekaa ni kuegemewa na kama itatokea ajali, ni balaa kwani katikati wamejaa abiria.

Aibu sana!
Hapo wenye matatizo zaidi ni hao wanokubali kupanda hizo gari zikiwa zimejaa nadhani njia bora ni kutunga sheria abiria ukizidi kwenye gari iliyojaa nawe upigwe fine hii itaondoa kabisa huu ujinga unaoendelea kwenye hayo mabasi, dereva fine,mwenye gari fine na abiria pia.
 
Leo nimesafiri na basi la ABOOD kutoka Morogoro namba T818_____ lililoondoka saa 6.00 mchana. Mambo ya ajabu niliyoyaona na nikikuwa ninayasikia kabla ni kujaza abiria kupita kiasi, wengine hukaa pale mbele karibu na driver, wengine wanachuchumaa kwenye corridor, kama hakuna dalili za askari wanasimama. Kuulizia, nikaambiwa hao hulipa kati ya shs. 5,000.00 mpaka 8,000.00 kutoka Dar Morogoro au Morogoro Dar.

Usumbufu unaopatikana kwa abiria aliyekaa ni kuegemewa na kama itatokea ajali, ni balaa kwani katikati wamejaa abiria.

Aibu sana!
Walugulu huwaambii kitu kuhusu abood wako radhi kulala stend kusubiri bus moja ilihali mengine yapo
 
Hapo wenye matatizo zaidi ni hao wanokubali kupanda hizo gari zikiwa zimejaa nadhani njia bora ni kutunga sheria abiria ukizidi kwenye gari iliyojaa nawe upigwe fine hii itaondoa kabisa huu ujinga unaoendelea kwenye hayo mabasi, dereva fine,mwenye gari fine na abiria pia.
Hao ni wapiga kura wa mhe. Mbunge!
 
Leo nimesafiri na basi la ABOOD kutoka Morogoro namba T818_____ lililoondoka saa 6.00 mchana. Mambo ya ajabu niliyoyaona na nikikuwa ninayasikia kabla ni kujaza abiria kupita kiasi, wengine hukaa pale mbele karibu na driver, wengine wanachuchumaa kwenye corridor, kama hakuna dalili za askari wanasimama. Kuulizia, nikaambiwa hao hulipa kati ya shs. 5,000.00 mpaka 8,000.00 kutoka Dar Morogoro au Morogoro Dar.

Usumbufu unaopatikana kwa abiria aliyekaa ni kuegemewa na kama itatokea ajali, ni balaa kwani katikati wamejaa abiria.

Aibu sana!
Ulivyo muoga hata namba ya basi unaogopa kuandika. Waluguru Ni mzigo wa Taifa.
 
Hapo wenye matatizo zaidi ni hao wanokubali kupanda hizo gari zikiwa zimejaa nadhani njia bora ni kutunga sheria abiria ukizidi kwenye gari iliyojaa nawe upigwe fine hii itaondoa kabisa huu ujinga unaoendelea kwenye hayo mabasi, dereva fine,mwenye gari fine na abiria pia.
daladala za Zanzibar ni level seats ,askari akikuta abiria wamesimama anawashusha halafu dereva anaaimbiwa mda wa kukutana mahakamani
 
Leo nimesafiri na basi la ABOOD kutoka Morogoro namba T818_____ lililoondoka saa 6.00 mchana. Mambo ya ajabu niliyoyaona na nikikuwa ninayasikia kabla ni kujaza abiria kupita kiasi, wengine hukaa pale mbele karibu na driver, wengine wanachuchumaa kwenye corridor, kama hakuna dalili za askari wanasimama. Kuulizia, nikaambiwa hao hulipa kati ya shs. 5,000.00 mpaka 8,000.00 kutoka Dar Morogoro au Morogoro Dar.

Usumbufu unaopatikana kwa abiria aliyekaa ni kuegemewa na kama itatokea ajali, ni balaa kwani katikati wamejaa abiria.

Aibu sana!
Matatizo Yapo Akilini Mwenu Abiria. Mnatakiwa Serikali iwatetee mpaka Vifo Vyenu wenyewe. Utadhani Akili hamnaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ngoja upande la Iringa dar, utatamani kulia wanafanya Mambo ya ajabu Sana, haya mabasi Kwa sasa usimamizi utakuwa Ni ziro!
 
URGENT SALE

Kiwanja Kina Hati Kinauzwa
Maeneo ya Kigamboni Puna Block L
Nauza bei ya Discount 6,000,000
Ukubwa wa kiwanja ni SQM 520
Huduma ya maji na umeme ipo
Tika feri ni Kilometer 30
Nipigie 0689 051480
Niamini nauza bei nzuri sana kwa maeneo hayo kiwanja kama icho ni kuanzia mil 10
Yale Yale puna au puna ipi?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ila wa ajabu zaidi ni wewe ambaye umeficha namba za gari
Kosa nililolifanya ni kuja kuona namba y gari haipo kwenye tiketi, nilitegemea itakuwepo

F55B7C9A-794C-4E1E-AED6-241D4B589E95.jpeg
 
Basi linaondoka kituoni likiwa na level seat, hao wanaosimama wanapakiliwa nje ya kituo
Katika mambo yanayotia kichefuchefu Abood ni pamoja na hiyo ya kutoka na abiria wameenea kwenye viti mnafika nje wanapaki mnakaa hata dakika 20 anaokoteza abiria wa kusimama kwenye isle

BM angekuwa mjanja angeweza kutumia huo udhaifu kupindua meza
 
Back
Top Bottom