luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,328
- 6,876
Mmoja kati ya walinzi wa madaktari hao ameuwawa huku mmoja akifanikiwa kutoroka.
Vikosi vya usalama vinawasaka wanamgambo hao ambao walijaribu kutorokea taifa jirani la Somalia.
Tulia bana wewe mnyamwezi, hii sio kambi ya wakimbizi ya Kakuma, hii ni Mbeya 'City'.
Kuishi na msomali afadhali ya kuishi na cobra ndani. Utajua una hatari ujihami .Habari za hivi punde: Madaktari wawili wa asili ya Cuba wanahofiwa kutekwa nyara katika shambulizi linalokisiwa kuwa la kigaidi katika kaunti ya Mandera #SemaNaCitizen
Lulu Hassan
Hassan MugambiView attachment 1069385
Sent using Jamii Forums mobile app
Hmm.. wahuni watulivu wamechokozwaHabari za hivi punde: Madaktari wawili wa asili ya Cuba wanahofiwa kutekwa nyara katika shambulizi linalokisiwa kuwa la kigaidi katika kaunti ya Mandera #SemaNaCitizen
Lulu Hassan
Hassan MugambiView attachment 1069385
Sent using Jamii Forums mobile app
CUBA ile kafa nayo Fidel Castro
Sasa hivi kimekuwa Kama Kisiwa Cha Utalii sio Kisiwa kile Cha kukombolea wengine
Mambo ya kukomboana ni ujinga tu.CUBA ile kafa nayo Fidel Castro
Sasa hivi kimekuwa Kama Kisiwa Cha Utalii sio Kisiwa kile Cha kukombolea wengine
luangalila Mkikuyu- Akili timamu nionyesheni nyumba zenu hapo ☝☝😆😆Tulia bana wewe mnyamwezi, hii sio kambi ya wakimbizi ya Kakuma, hii ni Mbeya 'City'.