Elections 2010 kAULI YA MWENYEKITI WA TUME IFANYIWE KAZI HARAKA.

Mzee tuwekee source ya hizo data basi!!!

Source ni website ya tume. Nenda kwenye website ya tume ya uchaguzi utakayakuta hayo maajabu ya walimwengu!!!! Au labda sasa hivi tayari wamebadirisha lakini hivyo ndivyo ilivyokuwa inasomeka mapema leo!!!.

Tiba
 
Dr. Slaa kama wasikii itisha maandamano nchi nzima ya kupinga matokeo tayari tunasubiri kauli yako. Tunataka tuwavue nguo wezi hawa
 
Jamani,tusifikiri kuwakilisha ushahidi huu ni jambo la kukurupuka.the evidence must be objective and strong.najua chadema wana vichwa na ndio maana hujaona kama wamekurupuka.ushahidi upo ila unahitaji maandalizi ya kuanika ushahidi huo kwa kuonyesha na kuthibitisha mapungufu ambayo ni ya kweli na mtu hawezi kubisha hata kama akiwa jambazi.ukweli ni kwamba subirini ila uhakika ni kuwa chadema wana ushahidi wa kutosha,kinachofanyika sasa hivi ni uandaaji wa makabrasha(paper works) kwa ajili ya ushahidi.

Ni sawa. Lakini ILI KUWAZUIA NEC kuendelea na dhuluma hii, na mwisho wake kumtangaza Kikwete, ni bora CHADEMA ikawasilisha HARAKA hata matokeo kutoka majimbo mawili tu...just to throw a spanner into Usalama wa CCM's work..

Wakati tawi la CCM (NEC) wanajifanya kupitia hayo malalamiko na ushahidi, CHADEMA itakuwa inatumia muda huo huo kuandaa kitu kamili
 
CHADEMA inabidi haya mabmo yote yafanyike kwa makini ili kuepusha lawama na mauaji ,,,nina uhakika nguvu ya umma ni kubwa
 
Jamani kesi zikifunguliwa mimi ntachangia hata kama ntakunywa maji ya visima tunayonyweshwa na serikali ya CCM mitaa ya Ubungo kule nipo tayari ilimradi kuona haki inatendeka
 
Angalia matokeo ya urais nec.go.tz ...matokeo ya urais kwenye majimbo hayo mawili ni sawa
 
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037


NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037


haya majimbo yamefanana kila kitu .muulize huyo kila imekuwaje mi niko mbali huku usalule sitaweza kufika


Tujaribu kuwa wakini kidogo maana hii hasira tuliyonayo dhidi ya NEC na ma-bwana zao wa CCM isijeikatutokea puani. Kwa ufahamu wangu wa wastani, nafahamu kwamba Geita ni wilaya mkoani Mwanza na ina majimbo mawili nayo ni Nyang'wale na Busanda. Kwa hiyo yawezekana hilo jimbo la Nyang'wale pia linajulikana as Geita, hilo sijui vizuri.
 
Hivi bahati mbaya Judge Makame siku ya siku akaamua kuwa chizi akamtangaza Mhe Dovutwa kama mshindi wa kiti cha uraisi itakuaje?:smile-big:
 
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037


NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037


haya majimbo yamefanana kila kitu .muulize huyo kila imekuwaje mi niko mbali huku usalule sitaweza kufika
hahahahhahahahahaaaaaaaaa chademaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa eleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee baaaaalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa WAKWIASHA SILAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAAAAAAAAAA
 
Bila ya Chadema kukabidhi takwimu zao leo watajiweka katika khali mbaya ya kutoaminika...........maana swali litakuwa kwa nin walisubiri mgombea Jk ametawazwa na wao waje kulalamika.....kama hata kama si takwimu zote zipo tayari basi zile zilizo tayari waziwakilishe na maombi ya lini ambazo hazipo tayari zitakuwa zimekamilika.................................
 
Kwa kweli hata ushahidi ukiwasilishwa hautabadili kitu. ila as a matter of formality ni bora uwasilishwe ili wasiseme ushahidi haukuletwa, kwani kesi ya nyani huwezi mpelekea nyani.Then ukikataliwa na tume ambayo ni obvious, CHADEMA wasonge mbele mahakamani kwa matokeo ya ubunge na ya rais kwenye vyombo vya Kimataifa na ikishindikana hapo sasa itakuwa shughuli pevu! Lakini pia pamoja na kuuwasilisha mahakamani CHADEMA wahakikishe coverage ya huo ushahidi iwe kubwa.

CHADEMA wahakikishe wanaoutangaza huu ushahidi na wanatufafanulia vizuri na coverage kubwa, yake iwafikie Watanzania wote haswa wa vijijini ili ukweli na madhambi ya CCM yajulikane! Kila siku wautangaze kwenye vyombo vya habari hata kama itachukua mwaka.

CHADEMA tupeni evidences tupate mzuka! Haki yenu haiwezi dhulumiwa, haki is very expensive! Tutadai kwa njia yoyote ile kama Nyerere alivyodai uhuru wetu, alivyodai ukombozi wa nchi nyingine za Afrika na pia alivyomtandika nduli Iddi Amini! Hakukubali haki idhulumiwe by any means. Watanzania tusikubali na wala tusiwe ma-coward. Tusitishane kila kitu in the name of AMANI ITAVUNJIKA! Ingekuwa hivyo Nyerere asingefanya yote aliyofanya.

Busara itumike (kama CCM wameiba wakiri !) ikishindikana lazima haki ipatikane! CCM watake wasitake haki is a must kama kweli wamefanyauchakachuaji!

CHADEMA kimbilio la wanyonge tupeni mzuka ili tukasake haki yetu
Mkuu na kuunga 100%.
 
Naomba nikukosoe kusema elimu ya watz, nafikiri ungebadili ukasema mapungufu ya professionalism amongst CCM leadership
 
Bravo! watu wanasubiri takwimu hizi kutoka CHADEMA vinginevyo watu pengine watatoka na sababu kuwa viongozi hawa hawakuwa na jipya ispokuwa kutapata...na pengine watu watajua pa kuanzia... GOOD IDEA!
 
Takwimu zipo zinafanyiwa kazi...! Japo NEC wanataka kuwahi kutangaza mshindi ili kuwa block Chadema..!!!Hii kazi inafanyika kimakini zaidi na si kama wengi wetu tunavyo elewa...Wanao tishia kuvunjika kwa Amani nchini kutokana na kuyapinga matokeo ni watu wabaya na wenye nia mbaya ndani ya Demokrasia, Hakuna mwenye kupenda kuvunja Amani ya nchi na hakuna mwenye kupenda kunyimwa haki yake..SULUHISHO SAHIHI NI KUKUBALIANA NA KURUDIA UCHAGUZI WA RAIS KWA AMANI... HILI LINAWEZEKANA NA HALIWEZI KUTUFANYA TUKAIVUNJA AMANI YA NCHI.
 
Back
Top Bottom