Kauka nkuvae ya Gamondi inaijeruhi Yanga

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,331
12,647
Mpira wa miguu ni mchezo wa kugongana na kutumia nguvu nyingi sana hasa kwenye mashindano makubwa ya CAF na Derby. Wachezaji walewale kila mechi za kila mashindano zinaiumiza timu, wachezaji wanachoka na kuumia na kulazimika kucheza na uchovu na maumivu, hivyo kucheza chini ya uwezo wao.

Siamini hata kidogo kama Kibwana, Sure boy, Mkude, Fred, Farid, Nkane, moloko, Mauya, Skudu na Ngushi wameshuka viwango vyao ghafla bin vuu baada ya ujio wa Gamondi. Timu yetu Sasa inaitwa Masare Huku mtaani kwa kupata sare nyingi.

Ninashindwa kumzomea Gamondi kwakuwa siku moja Nabi aliniambia kuwa moja ya sababu inayonitoa Yanga ni kulazimika kucheza na kushinda mechi ukiwa na wachezaji hafifu sana kwenye kikosi. Labda wachezaji hafifu aliowasema Nabi ni hawa anaowaacha Gamondi kwenye bench kwenye mechi zake.

Aulizwe Gamondi aseme ukweli kama wachezaji hawa ni wabovu waachwe haraka wasiitie hasara timu ya kulipa wachezaji waaioitumikia club.
 
Garmondi ni Ally Dangote mtupu.. yule chizi maarifa.. yaani ni taahira flan kichaa mhuni.
 
Gamondi yupo vizuri na Hata jana Kama sio refa wa mchongo yanga angechomoza na ushindi .
Yanga ina possess mechi zote na Kutengeneza nafasi kila mechi Hata mechi ya Al ahly aliongoza kwa possession Mpaka half time .
Kinachoikosesha yanga ushindi ni washambuliaji , Hata huyo nabi unayesema alipata matokeo sababu mbele alikuwepo mayele .

Gamondi alijaribu kupumzisha mastaa mechi ya ihefu akaweka kina nkhane , sure boy , mauya, skudu , kibwana angalia kilichotokea.

Moloko alikuwa anaumwa tangu mechi ya Al ahly au kabla yake bado hayupo fit 100%

Farid aliumwa muda mrefu zaidi
Mkude nidhamu mbovu

Kwani Gamondi hataki ushindi Kama anajua kuna mchezaji wa kuleta ushindi?
Tatizo la bongo kila mtu ni kocha
 
Mpira wa miguu ni mchezo wa kugongana na kutumia nguvu nyingi sana hasa kwenye mashindano makubwa ya CAF na Derby. Wachezaji walewale kila mechi za kila mashindano zinaiumiza timu, wachezaji wanachoka na kuumia na kulazimika kucheza na uchovu na maumivu, hivyo kucheza chini ya uwezo wao.

Siamini hata kidogo kama Kibwana, Sure boy, Mkude, Fred, Farid, Nkane, moloko, Mauya, Skudu na Ngushi wameshuka viwango vyao ghafla bin vuu baada ya ujio wa Gamondi. Timu yetu Sasa inaitwa Masare Huku mtaani kwa kupata sare nyingi.

Ninashindwa kumzomea Gamondi kwakuwa siku moja Nabi aliniambia kuwa moja ya sababu inayonitoa Yanga ni kulazimika kucheza na kushinda mechi ukiwa na wachezaji hafifu sana kwenye kikosi. Labda wachezaji hafifu aliowasema Nabi ni hawa anaowaacha Gamondi kwenye bench kwenye mechi zake.

Aulizwe Gamondi aseme ukweli kama wachezaji hawa ni wabovu waachwe haraka wasiitie hasara timu ya kulipa wachezaji waaioitumikia club.
Katika hao wachezaji uliowataja labda wachezaji watatu tu ndio wachezaji wanaoweza kucheza kwenye mechi ngumu lakini bado wana mapungufu yao hawawezi kukupa vitu zaidi ya kimoja. Kibwana ni mzuri kwenye kukaba tu ila sio katika kuanzisha mashambulizi. Mkude siwezi kumjaji sababu sikuona mechi ya ushindani aliyocheza zaidi ya dakika 45.

Skudu hawezi mchaka mchaka na mechi za kutumia nguvu, ni mzuri timu ikiwa ina possess tu. Mauya ni kiungo anayeongoza kwa kumpa pasi adui. Kipindi cha Nabi aliuzi sana mashabiki kwa kushindwa kutoa pasi kwa usahihi japo ni mzuri kwenye kukaba. Sureboy na Moloko wana siku na siku kuna siku sureboy ataupiga mwingi ila kuna siku ataongoza kwa back pass. Ngushi na Nkane sio wa kucheza Yanga
 
Kocha ni muoga wa sub kuanzia dak 78 alitakiwa kufanya za viungo hata kupunguza beki ili apate nguvu mpya kati ya kufanya pressing
 
Gamondi yupo vizuri na Hata jana Kama sio refa wa mchongo yanga angechomoza na ushindi .
Yanga ina possess mechi zote na Kutengeneza nafasi kila mechi Hata mechi ya Al ahly aliongoza kwa possession Mpaka half time .
Kinachoikosesha yanga ushindi ni washambuliaji , Hata huyo nabi unayesema alipata matokeo sababu mbele alikuwepo mayele .

Gamondi alijaribu kupumzisha mastaa mechi ya ihefu akaweka kina nkhane , sure boy , mauya, skudu , kibwana angalia kilichotokea.

Moloko alikuwa anaumwa tangu mechi ya Al ahly au kabla yake bado hayupo fit 100%

Farid aliumwa muda mrefu zaidi
Mkude nidhamu mbovu

Kwani Gamondi hataki ushindi Kama anajua kuna mchezaji wa kuleta ushindi?
Tatizo la bongo kila mtu ni kocha
Mechi ya jana Gamond alikuwa ana imalizia kule kule kama kule mbele angekuwa na watu wenye akili kama Pacome. wachezaji hawa wamechagiza Yanga kushindwa kupata alama tatu jana Max, Mzize, Aziz Ki na Kibabage. Max na Aziz ki wanakaa sana na mpira mpaka wanapokonywa. Mzize na Kibabage wana vigugumizi sana vya miguu, kuna counter attack Yanga walizifanya laiti kama wangekuwa wachezaji wenye ubora sijui kama hizi kelele za Gamond zingekuwepo. Ila nafasi zikaenda tupu, counter attack mchezaji anapata kigugumizi mpaka wachezaji wa Medeama wanarudi golini.
 
Kocha ni muoga wa sub kuanzia dak 78 alitakiwa kufanya za viungo hata kupunguza beki ili apate nguvu mpya kati ya kufanya pressing
Hivi mkuu wale jamaa walivyokuwa wanawafanya wakina Mwamnyeto jana mpaka wanadondoka dondoka chini jamaa walivyokuwa wazuri kule mbele halafu upunguze tena beki.
 
Daaaa tunahitaji usajili ditisha dogo...striker mzize bado hakakomaaa kwa mechi CAF...labda za ndanii
 
Mechi ya jana Gamond alikuwa ana imalizia kule kule kama kule mbele angekuwa na watu wenye akili kama Pacome. wachezaji hawa wamechagiza Yanga kushindwa kupata alama tatu jana Max, Mzize, Aziz Ki na Kibabage. Max na Aziz ki wanakaa sana na mpira mpaka wanapokonywa. Mzize na Kibabage wana vigugumizi sana vya miguu, kuna counter attack Yanga walizifanya laiti kama wangekuwa wachezaji wenye ubora sijui kama hizi kelele za Gamond zingekuwepo. Ila nafasi zikaenda tupu, counter attack mchezaji anapata kigugumizi mpaka wachezaji wa Medeama wanarudi golini.
Mzize , ngushi , nkhane watolewe kwa mkopo .
Kibabage mzuri wa kuzuia lakini kushambulia aelekezwe maana ya pasi ya mwisho .

Max mwanzo akiwa Mgeni alikuwa hakai sana na Mpira lakini Kadiri anavyozoea sifa anazidi kukaa na Mpira .

Aziz ki Kama sio mgomo basi wale majambazi wa Dar wamemshusha Kiwango bila kutambua.

Yanga wangekuwa na mayele wangekusanya pointi 9 Mpaka sasahivi.
 
Kufungwa na ihefu ni mchezo TU, sio sababu ya kuwapiga ban wachezaji milele. Hata timu kubwa zinafungwa na vijitimu vidogo TU, lakini huwezi sikia kwamba wachezaji hawa basi hawachezi tena. Practice makes perfect. Hata Aziz alikuwa hafanyi vizuri lakini alipewa muda wa kufanya na kurekebisha makosa.
Gamondi yupo vizuri na Hata jana Kama sio refa wa mchongo yanga angechomoza na ushindi .
Yanga ina possess mechi zote na Kutengeneza nafasi kila mechi Hata mechi ya Al ahly aliongoza kwa possession Mpaka half time .
Kinachoikosesha yanga ushindi ni washambuliaji , Hata huyo nabi unayesema alipata matokeo sababu mbele alikuwepo mayele .

Gamondi alijaribu kupumzisha mastaa mechi ya ihefu akaweka kina nkhane , sure boy , mauya, skudu , kibwana angalia kilichotokea.

Moloko alikuwa anaumwa tangu mechi ya Al ahly au kabla yake bado hayupo fit 100%

Farid aliumwa muda mrefu zaidi
Mkude nidhamu mbovu

Kwani Gamondi hataki ushindi Kama anajua kuna mchezaji wa kuleta ushindi?
Tatizo la bongo kila mtu ni kocha
 
Mpira wa miguu ni mchezo wa kugongana na kutumia nguvu nyingi sana hasa kwenye mashindano makubwa ya CAF na Derby. Wachezaji walewale kila mechi za kila mashindano zinaiumiza timu, wachezaji wanachoka na kuumia na kulazimika kucheza na uchovu na maumivu, hivyo kucheza chini ya uwezo wao.

Siamini hata kidogo kama Kibwana, Sure boy, Mkude, Fred, Farid, Nkane, moloko, Mauya, Skudu na Ngushi wameshuka viwango vyao ghafla bin vuu baada ya ujio wa Gamondi. Timu yetu Sasa inaitwa Masare Huku mtaani kwa kupata sare nyingi.

Ninashindwa kumzomea Gamondi kwakuwa siku moja Nabi aliniambia kuwa moja ya sababu inayonitoa Yanga ni kulazimika kucheza na kushinda mechi ukiwa na wachezaji hafifu sana kwenye kikosi. Labda wachezaji hafifu aliowasema Nabi ni hawa anaowaacha Gamondi kwenye bench kwenye mechi zake.

Aulizwe Gamondi aseme ukweli kama wachezaji hawa ni wabovu waachwe haraka wasiitie hasara timu ya kulipa wachezaji waaioitumikia club.
inakuhusu nini wewe,sisi wananchi hatuna shida na hiyo kauka nikuvae
 
Hivi mkuu wale jamaa walivyokuwa wanawafanya wakina Mwamnyeto jana mpaka wanadondoka dondoka chini jamaa walivyokuwa wazuri kule mbele halafu upunguze tena beki.
Jamaa wangekatiwa mawasiliano kati wasingesumbua angalia jamaa walikuwa hawarudi kati ndo maana wakawasambua sana coz muda mwingi walikuwa wengi mbele
 
Gamondi swala la muda tu ila hamna kocha pale.
Sio kocha wa kufundisha mchezaji kama Nabi bali ni kocha wa kutumia mchezaji kama alivyokuja. Nabi aliwafundisha akina BACCA na Fei toto hadi wakaweza, huyu hawezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom