johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,954
- 143,577
Endelezeni kunywa mtori Nyama mtazikuta chini
Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema taifa utafichua Siri nyingi sana kama busara haitachukua Nafasi yake
Kuna mambo Mengi yaliachwa kwenye mabano huko nyuma kwa sababu Chama kilikuwa na Wazee kwa maana ya Wazee
Lakini Wazee wa Chadema ya Leo Ndio hawa hawa Akina Kigaila, Mbowe, Lisu na Askofu Mwamakula
Kazi Ipo
Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema taifa utafichua Siri nyingi sana kama busara haitachukua Nafasi yake
Kuna mambo Mengi yaliachwa kwenye mabano huko nyuma kwa sababu Chama kilikuwa na Wazee kwa maana ya Wazee
Lakini Wazee wa Chadema ya Leo Ndio hawa hawa Akina Kigaila, Mbowe, Lisu na Askofu Mwamakula
Kazi Ipo