Kenya watatuacha mbali sana, na sasa Zanzibar wanataucha hivi hivi. Angalia utendaji wa tume za uchaguzi ZEC na NEC. Kiravu na amekuwa kama msemaji wa CCM.Wa TZ majibu mazuri ya mafisadi ni kubadilisha katiba. mfano katiba mpya ya kenya ilivyomng'ata wetangula. tukifanya hivyo jk tunaye na first 11 yake including so called first lady.
Slaa = katiba
kj + first 11 = segerea
Inafurahisha sana Zanzibar kwakweli KARUME kafanya makubwa sana!Kenya watatuacha mbali sana, na sasa Zanzibar wanataucha hivi hivi. Angalia utendaji wa tume za uchaguzi ZEC na NEC. Kiravu na amekuwa kama msemaji wa CCM.
dah,ingawa napenda kuwa mzalendo ila i wish i was a kenyan